DR SANTOS
JF-Expert Member
- Mar 11, 2019
- 12,846
- 28,106
Sio mara ya kwanza alishasema kabla tulimlamba ban tenaUmesimama imara mpaka jamaa kakipata alichokitaka.
Akirudi atakuwa na heshima jukwaani
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sio mara ya kwanza alishasema kabla tulimlamba ban tenaUmesimama imara mpaka jamaa kakipata alichokitaka.
Akirudi atakuwa na heshima jukwaani
Duu huyu jamaa, ni wa kusaidiwa TUKuna Uzi aliandika apigwe ban msimu mzima WA mashindano ya CAF
Kapewa alichotakaMtoto kautaka.....
Usijichanganye siku nyingineKumbe mods wapo serious na hili swala
Hakuna utani kwenye mambo serious. Active fungia huyo kuli wa GSM mpaka game nyingine ya Simba
Unatesekaa ukiwa wapiiii? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Shida mnataka Simba icheze kama Yanga kwa usajiri ule ndio maana mnaiona Simba mbovu ila mimi kwa wale wachezaji wenu naona mnajitahidi sana upande wa kuzuia..
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] nakutafutaaa mtaniii umekimbilia wapiiii?Haya haya hayaaaa. [emoji23][emoji23][emoji23]
Apigweeee ban, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Kama nawaona mikia wanavyokuja kama nyuki kulia kwa mods wapewe haki yao. [emoji23][emoji23][emoji23]
Ma tunamuua huyu utopolo mwenzenu, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Labani mwanayanga mwenzetu tuko pamoja mkuu [emoji23][emoji23][emoji23].... Wacha wakuue
Kingekulambaa, nyokooo wee!! [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Ilibaki kidogo nami nile ban [emoji16] aliniwahi kupost uzi
Siyo ban tu, huku mtaani tutamsaka tumpige nao.Apigweeee ban, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
BannedTime is not yet