Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ahsante sana. Kupendwa na mtu huku kwa watu wengi wenye chuki na hatujuani. Nimelipokea 🥰 tuko pamoja Mkuu jmushi1Nakupenda sana tumepishana tu huku😀
AmeshapewaApewe haki yake
Moderator huyu naye anaomba ban ya week kwa upendo wake tu.Apewe tafadhali.Kupewa ban tayari haya na mimi mnipe ban ya week
Tuko kikazi ZaidI, hatuna utani na MTUKwa hiyo wamempa ban kweli.
Safi sana.
Na mods wamejua mtakuja kulia lia sana akaamua ampe haki yake mapema. 😂😂Apigweeee ban, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Tanzania oyeeee. 🇹🇿 😂😂U hali gani
Kuweni na huruma kidogo basi Mkuu. 😂😂😂Mtoto kautaka acha apewe
Mwanakalitafuta mwanakalipata.Mimi ni simba lakin hii yanga[emoji23][emoji23]..Hapan ndugu zangu..kuna lile jamaa cjui linaitwa boka..linakimbia hatari...Yule mchezaji au mwizi[emoji1787][emoji1787]..ni halali asiwe anatumika kwenye viwanja vidogo maana mnamnyima raha..Jamaa beki na mbele..yaani anaanza mpira nyuma alafu kdg unamuona kwenye box anamwaga maji[emoji23][emoji1316][emoji1316][emoji1316]
Huyo basi kwakuwa siiamini timu yangu naomba moderator kwaakili x
Zangu timamu ....mnipige bani ya siku 3 kama Simba itashinda Leo ....timu mbovu sana hii[emoji24]View attachment 3102682
Hahahaaaaaaa,Pole sana bloangu,ndio uachage kuingia na matokeo yakoBanned
Chaaa!! Nimekuja Mtani haya nambie. Lol 😂😂[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] nakutafutaaa mtaniii umekimbilia wapiiii?
Hahahaa! Weeee!!Ile Jersey ya Msimbazi niliyosema nakununulia kama zawadi ipo tayari.
Nina Imani rangi nyekundu itakupendeza sana kuliko njano na kijani 🤗
Sawa, urudi tu kaliua panakutosha ukanywe uji wa mtama.Mimi ni simba lakin hii yanga[emoji23][emoji23]..Hapan ndugu zangu..kuna lile jamaa cjui linaitwa boka..linakimbia hatari...Yule mchezaji au mwizi[emoji1787][emoji1787]..ni halali asiwe anatumika kwenye viwanja vidogo maana mnamnyima raha..Jamaa beki na mbele..yaani anaanza mpira nyuma alafu kdg unamuona kwenye box anamwaga maji[emoji23][emoji1316][emoji1316][emoji1316]
Huyo basi kwakuwa siiamini timu yangu naomba moderator kwaakili x
Zangu timamu ....mnipige bani ya siku 3 kama Simba itashinda Leo ....timu mbovu sana hii[emoji24]View attachment 3102682