Simba ikishinda leo mbali na nuksi zote zilizotokea tukafanye sherehe kubwa

Simba ikishinda leo mbali na nuksi zote zilizotokea tukafanye sherehe kubwa

GENTAMYCINE

JF-Expert Member
Joined
Jul 13, 2013
Posts
60,660
Reaction score
121,325
Uongozi wa Simba SC nawalaumu sana kwani mlijisahau, kubweteka na kujiamini, badala ya Kujiandaa na Mechi hii muhimu Kwetu Sisi muda wote tukawa tunashangalia Watani zetu Yanga SC kupokea Vipigo viwili mfululizo vya Azam FC na Tabora United.

Tulijua tokea Wiki Tatu au Mbili kuwa tunaenda kucheza na Pamba Jiji FC ambao Watu wa Mpira tunajua kuwa Pamba FC kiasili ni Yanga B na Yanga SC kamwe hawatakubali Mechi hii tushinde kwani tukishinda wanaona itakuwa ngumu Kwao kutupata kwa Maandalizi yetu ya Ubaya Ubwela ya Msimu huu.

Wenzenu wa Yanga SC ambao nawasifu kwa Umafia walianza mapema mno Kuwasaidia Pamba Jiji FC (hasa Kiushirikina) na Kipropaganda huku Vita ya Kisaikolojia nayo wakiwa wameshainza. Cha kushangaza Simba SC yangu (yetu) imeanza Maandalizi ya Mechi hii Siku 5 tu kabla wakati Maadui waliianza Siku 15 nyuma.

GENTAMYCINE nina wasiwasi sana na hii Mechi ya Leo jioni dhidi ya Pamba Jiji FC kwa sababu zangu Kuu zifuatazo......

  1. Siku ya Ijumaa haijawahi kuwa nzuri Kinyota na Simba SC katika Mechi zake
  2. Hakuna Mtu wa Mpira asiyejua kuwa Mkoa wa Mwanza ni Ngome Kuu ya Yanga SC
  3. Uwanja wa CCM Kirumba kwa 85% huwa ni Machinjio kwa Simba SC Kihistoria
  4. Mchezaji mwenye Nuksi akifanya Press Conferences zote Shomary Kapombe jana Kuzungumza
Kama Simba SC ikishinda leo huko Mkoani Mwanza pamoja na Vita vyote na Kampeni Chafu iliyofanyiwa basi nashauri wana Simba SC wote tufanye Sherehe Kubwa mno kwani ni Mechi ambayo Yanga SC kwa 101% wameicheza Kiukatili ili kutusimamisha Kimatokeao na tusiwazidi na tuanze Kukimbizana.

Naitakia kila la kheri Simba SC leo ila pia kama mwanamichezo nitapokea Matokeo yoyote yale ya ama Kufungwa au kutoka Suluhu / Sare kwani Mchezo wa Mpira ndivyo ulivyo. Na nimalizie tu kwa kuwaomba wana Simba SC wote kuwa leo tusikariri mno na tujiandae kupokea Matokeo yote Matatu ila nawalaumu zaidi Uongozi.
 
Nimeshangaa hadi viongozi wakuu kwenda na polisi wenye silaha pale, sio bure kuna jambo zito, ziwa Victoria ina makafara ya Maji sana huenda leo tukapambana na mizimu isiyoonekana.

Mwenyezi Mungu ataisimamia na Simba itashinda inshallah
 
Pamba kumfunga Simba haitakua mara ya kwanza apo kirumba tofauti itakua kwasasa Pamba ni dhaifu kuliko Ile Pamba iliyo karibia kuishusha Simba Daraja kwa kutandika 1-0 apo kirumba.

Baada ya kufungwa na Pamba ikiwa imebaki mechi Moja ya mwisho dhidi ya Yanga ambayo ilikua inachezwa Shamba la bibi, Viongozi (David Ngonya) na wenzake walikimbia na timu kumuachia Shika mkono maana waliona haiwezekani kupata Matokeo mbele ya Yanga katika mechi ya mwisho na ukumbuke Yanga angeshinda Angekuwa Bingwa.

Ilibidi viongozi wa Serikali na Yanga wakubaliane Simba ishinde ili inusurike kushuka Daraja.
Mpaka half time Yanga alikua akiongoza 1-0 baadhi ya mashabiki wa Simba wakaanza kukimbia kwa kutoka uwanjani.

Baada ya wakubwa kukubaliana Kipindi Cha pili Simba ikasawazisha kupitia chumila na John Makelele
Ndipo Coast akatwaa Ubingwa kwa tofauti ya Magoli licha ya kufungwa 2-0 na African Sports pale Mkwakwani.

Pamba japo wapo dhohofu lakini mchezaji kwao hutunzwa.
 
Uongozi wa Simba SC nawalaumu sana kwani mlijisahau, kubweteka na kujiamini, badala ya Kujiandaa na Mechi hii muhimu Kwetu Sisi muda wote tukawa tunashangalia Watani zetu Yanga SC kupokea Vipigo viwili mfululizo vya Azam FC na Tabora United.

Tulijua tokea Wiki Tatu au Mbili kuwa tunaenda kucheza na Pamba Jiji FC ambao Watu wa Mpira tunajua kuwa Pamba FC kiasili ni Yanga B na Yanga SC kamwe hawatakubali Mechi hii tushinde kwani tukishinda wanaona itakuwa ngumu Kwao kutupata kwa Maandalizi yetu ya Ubaya Ubwela ya Msimu huu.

Wenzenu wa Yanga SC ambao nawasifu kwa Umafia walianza mapema mno Kuwasaidia Pamba Jiji FC (hasa Kiushirikina) na Kipropaganda huku Vita ya Kisaikolojia nayo wakiwa wameshainza. Cha kushangaza Simba SC yangu (yetu) imeanza Maandalizi ya Mechi hii Siku 5 tu kabla wakati Maadui waliianza Siku 15 nyuma.

GENTAMYCINE nina wasiwasi sana na hii Mechi ya Leo jioni dhidi ya Pamba Jiji FC kwa sababu zangu Kuu zifuatazo......

  1. Siku ya Ijumaa haijawahi kuwa nzuri Kinyota na Simba SC katika Mechi zake
  2. Hakuna Mtu wa Mpira asiyejua kuwa Mkoa wa Mwanza ni Ngome Kuu ya Yanga SC
  3. Uwanja wa CCM Kirumba kwa 85% huwa ni Machinjio kwa Simba SC Kihistoria
  4. Mchezaji mwenye Nuksi akifanya Press Conferences zote Shomary Kapombe jana Kuzungumza
Kama Simba SC ikishinda leo huko Mkoani Mwanza pamoja na Vita vyote na Kampeni Chafu iliyofanyiwa basi nashauri wana Simba SC wote tufanye Sherehe Kubwa mno kwani ni Mechi ambayo Yanga SC kwa 101% wameicheza Kiukatili ili kutusimamisha Kimatokeao na tusiwazidi na tuanze Kukimbizana.

Naitakia kila la kheri Simba SC leo ila pia kama mwanamichezo nitapokea Matokeo yoyote yale ya ama Kufungwa au kutoka Suluhu / Sare kwani Mchezo wa Mpira ndivyo ulivyo. Na nimalizie tu kwa kuwaomba wana Simba SC wote kuwa leo tusikariri mno na tujiandae kupokea Matokeo yote Matatu ila nawalaumu zaidi Uongozi.
Tawire! Tawire! 💣
 
Pamba kumfunga Simba haitakua mara ya kwanza apo kirumba tofauti itakua kwasasa Pamba ni dhaifu kuliko Ile Pamba iliyo karibia kuishusha Simba Daraja kwa kutandika 1-0 apo kirumba.

Baada ya kufungwa na Pamba ikiwa imebaki mechi Moja ya mwisho dhidi ya Yanga ambayo ilikua inachezwa Shamba la bibi, Viongozi (David Ngonya) na wenzake walikimbia na timu kumuachia Shika mkono maana waliona haiwezekani kupata Matokeo mbele ya Yanga katika mechi ya mwisho na ukumbuke Yanga angeshinda Angekuwa Bingwa.

Ilibidi viongozi wa Serikali na Yanga wakubaliane Simba ishinde ili inusurike kushuka Daraja.
Mpaka half time Yanga alikua akiongoza 1-0 baadhi ya mashabiki wa Simba wakaanza kukimbia kwa kutoka uwanjani.

Baada ya wakubwa kukubaliana Kipindi Cha pili Simba ikasawazisha kupitia chumila na John Makelele
Ndipo Coast akatwaa Ubingwa kwa tofauti ya Magoli licha ya kufungwa 2-0 na African Sports pale Mkwakwani.

Pamba japo wapo dhohofu lakini mchezaji kwao hutunzwa.
Mkifungwa muwe mnakubali hivi Kuna kiongozi wa hizi timu mbili anayesaliti timu yake na ikawa imara
 
Hadithi inaendelea part 2 au imeishia hapo?Pamoja na figisu nyingi tu na wachawi kujifungia uwanjani hivyo vyote havisaidii.Mpira huchezwa uwanjani.
 
Nataka kujua nani aliyempachika jina la popoma huyu jamaa...Kuna vocha ya bureeeee
Sisi ndiyo Simba SC AKA;

1. Makolokolo SC.
2. Mbumbumbu SC.
3. Mipang'ang'a SC.
4. Malalamiko (Lialia) SC.
5. Makelele SC.
6. Madunduka SC.
7. Manyaunyau (mapaka) SC.
8. Mwakarobo SC.
9. Mikia SC.
10. Miso Misonda SC.
11. Manyang'au SC.
12. Mazumbukuku SC.
13. Mazombi SC.
14. Kinyume nyume SC.
15. Ngada SC.
16. Kolowizard SC.
17. Zuwena SC.
18. Bebwabebwa (Mbeleko) SC.
19. Panya roads SC.
20. Kikanuni SC.
21. Kufa Kiume SC.
22. Ubaya ubwege SC.
23. 5imba SC.
24. Visingizio SC (Visababu)
25. Manguruwe SC.
JamiiForums1222824732.jpeg
 
Sisi ndiyo Simba SC AKA;

1. Makolokolo SC.
2. Mbumbumbu SC.
3. Mipang'ang'a SC.
4. Malalamiko (Lialia) SC.
5. Makelele SC.
6. Madunduka SC.
7. Manyaunyau (mapaka) SC.
8. Mwakarobo SC.
9. Mikia SC.
10. Miso Misonda SC.
11. Manyang'au SC.
12. Mazumbukuku SC.
13. Mazombi SC.
14. Kinyume nyume SC.
15. Ngada SC.
16. Kolowizard SC.
17. Zuwena SC.
18. Bebwabebwa (Mbeleko) SC.
19. Panya roads SC.
20. Kikanuni SC.
21. Kufa Kiume SC.
22. Ubaya ubwege SC.
23. 5imba SC.
24. Visingizio SC (Visababu)
25. Manguruwe SC.View attachment 3159211
Oya unijui sikujui ,..sitaki shobo
 
  • Kicheko
Reactions: Tui
Back
Top Bottom