Simba ili kupata ushindi iliwahitaji DIARA na MAYELE

Kama hatuna shukrani basi tuheshimu anachokifanya Chris's.
Last season uliona ubora wake ,mwaka huu licha ya majeraha ya Mara kwa Mara amefunga goli 2 kwenye mechi 3 alizocheza shirikisho ,compare na mayele alipokuwa Vita last season
Of coz kajitahid kwa kiwango chake ....but kwenye michuano ile lazima tuwe na wachezaji wepesi kufanya maamuzi
 
Lkn aliisadia timu ....kuibuka na ushindi......manula hamna alichosaidia ........sawa sawa na golin waliweka pazia
Wee pumba kweli! Aliyeshindwa kuokoa penati hata moja kwenye tano za kwaza ni bora kuliko aliyeokoa kwenye hizo tano za kwanza?
 
bado sijaona maana hamko kwenye mashindano makubwa ya africa i mean klabu bingwa afrika na kombe la shirikisho
Ninyi MAKOLOKOLO si mlikuwepo kwenye hayo mashindano makubwa ya CAF, mlichukua kombe gani kwa miaka yote mi4 iliyopita [emoji848][emoji1787]

MAKOLOKOLO bhana, yanashindwa hata kutofautisha kati ya timu bora (BINGWA) na msindikizaji bora (MSHIRIKI) [emoji1732][emoji1]
 
Mkuu , ungesema mayele hapo ningekuelewa . Ila ulivyosema mdaka mishale nikaona wewe ni wale aliowasema Luc Eymael
 
Labda watabeba kombe la CUF
 
River united aliwagonga utopolo; ndani& nje. Sio huyu Diara aliyefungwa penati 9/8. Mkatolewa au unajifariji. Pia juzi FA yanga vs geita gold. 5 hakudaka hata moja.
Ushabiki mwingine unapoteza mpaka kumbukumbu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…