Simba ili kupata ushindi iliwahitaji DIARA na MAYELE

Nyie mbona mnao lakini mnapigwa nje ndani kila uchao? Mkishashiba mihogo yenu mnajiropokea tu
 
Tukiacha masihara, Simba mchukueni mayele. Mayele mchezaji mpambanaji sana.
 
thread ya mwezi april, huu ni mwezi wa 11
 
Nmekosa mm[emoji23][emoji23]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] nlikua nakutafuta sanaaa, haya shusha nyuzi zako zile za kujimwambafy, mihogo FC.

byutiiiiiii byutiiiiiih
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] nlikua nakutafuta sanaaa, haya shusha nyuzi zako zile za kujimwambafy, mihogo FC.

byutiiiiiii byutiiiiiih
Kwanza kushabikia mpira Ni dhambi[emoji23][emoji23]....nivile tu haujui
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…