Watu wa utopolo malalamiko yenu mwaka huu yatawauaSasa hii Tifua tifua ya Karia na Makolo unataka kuifananisha na Tabora boys? Hebu waache watu na mahaba yao bhana
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Watu wa utopolo malalamiko yenu mwaka huu yatawauaSasa hii Tifua tifua ya Karia na Makolo unataka kuifananisha na Tabora boys? Hebu waache watu na mahaba yao bhana
Hii yote kisa mnyama kuchukua ngao?Au Fei kufunga hat trick?Desemba 28, mwaka 2021, Bodi ya Ligi Kuu Tanzania(TPLB) iliamua kuahirishwa kwa mchezo namba 69 wa Ligi Kuu ya NBC kati ya Kagera Sugar FC na Simba SC uliokuwa uchezwe siku hiyo Saa 10:00 Alasiri katika uwanja wa Kaitaba mjini Bukoba, kutokana na taarifa za kitabibu kuwa wachezaji 16 kati ya 22 wa Simba SC waliosafiri kwenda Bukoba kuonekana kuwa na dalili ya mafua na kukohoa hali inayochangiwa na mabadiliko ya hali ya hewa (Seasonal Influenza).
Simba ingeweza kulazimishwa kuchezesha wachezaji nane, iagize wachezaji wa Under 20, au la ipoteze pointi kwa mujibu wa Kanuni maana kuugua kwa wachezaji wao haikuwa kosa la Kagera kabisa ila Bodi ikatumia 'Busara' mechi ikaahirishwa.
Lakini jana Bodi hiyo ikashindwa kutumia 'Busara' hiyo hiyo kuahirisha mechi ya Azam na Kitayosce kutokana na baadhi ya wachezaji wa Kitayosce kutokidhi vigezo huku wengine, akiwemo golikipa wakiwa ni wagonjwa lakini wakalazimishwa wacheze hivyo hivyo wakiwa nane.
Je, hapa Bodi haikuona haja ya kutumia 'Busara' au inaonea timu ndogo?
Tujadili.
Wengi watapata magonjwa yasiyoambukiza mwaka huu.Watu wa utopolo malalamiko yenu mwaka huu yatawaua
Kwani hao wachezaji vijana wangekaa kambi tofauti na wenzao, kiasi kwamba ugonjwa huo usingewahusu!Timu za Ligi Kuu zinaruhusiwa kuongeza na kuwatumia wachezaji wa timu za vijana hadi watano, hivyo kama kulikuwa wagonjwa wangeenguliwa wakawekwa vijana.
Rejea andiko la TFF, haukutajwa ni ugonjwa gani sasa wewe unalazimisha iwe ni Covid 19!
ba walilalamika tu wachezaji wetu wagonjwa mida ya saa 8, masaa mawili kabla ya mchezo, ingawa katika pre match walihudhuria vizuri. Kitayose walisema wamekuja na wachezaji wao wote, walipoambiwa wengine hawatocheza, wale wengine pia wakawa hawako vizuri kiafya (wagonjwa kama Simba), mechi haikuahirishwa na wakalazimishwa kucheza hivyo hivyo tena pungufu. Yanga waliwahi kuugua kule Mbeya, mechi haikuahirishwa, kulikoni kwa Simba tu?
🤣🤣Kitayose kapigwa goli ngapi? Alafu weka paragraphs kwenye andiko lako edit weka space kila baada ya aya usibananishe hivyo
Hivi mpango wa kubadili jina kuwa Tabora Utd uliishia wapi?Ile nafasi ya Kitayose ilikuwa ya PAMBA waache wavune walichopanda
Hujuma dhidi ya PAMBA zilikuwa za wazi na Karia akaziba masikio Sasa aibebe na huku tuone
Wananchi twendeni tukakate rufaa CAS. Mbaya zaidi Feitoto amepewa hat-trick, atashirikiana na Simba kutuzodoaDesemba 28, mwaka 2021, Bodi ya Ligi Kuu Tanzania(TPLB) iliamua kuahirishwa kwa mchezo namba 69 wa Ligi Kuu ya NBC kati ya Kagera Sugar FC na Simba SC uliokuwa uchezwe siku hiyo Saa 10:00 Alasiri katika uwanja wa Kaitaba mjini Bukoba, kutokana na taarifa za kitabibu kuwa wachezaji 16 kati ya 22 wa Simba SC waliosafiri kwenda Bukoba kuonekana kuwa na dalili ya mafua na kukohoa hali inayochangiwa na mabadiliko ya hali ya hewa (Seasonal Influenza).
Simba ingeweza kulazimishwa kuchezesha wachezaji nane, iagize wachezaji wa Under 20, au la ipoteze pointi kwa mujibu wa Kanuni maana kuugua kwa wachezaji wao haikuwa kosa la Kagera kabisa ila Bodi ikatumia 'Busara' mechi ikaahirishwa.
Lakini jana Bodi hiyo ikashindwa kutumia 'Busara' hiyo hiyo kuahirisha mechi ya Azam na Kitayosce kutokana na baadhi ya wachezaji wa Kitayosce kutokidhi vigezo huku wengine, akiwemo golikipa wakiwa ni wagonjwa lakini wakalazimishwa wacheze hivyo hivyo wakiwa nane.
Je, hapa Bodi haikuona haja ya kutumia 'Busara' au inaonea timu ndogo?
Tujadili.
Simba ingeweza kulazimishwa kuchezesha wachezaji nane, iagize wachezaji wa Under 20, au la ipoteze pointi kwa mujibu wa Kanuni