Simba iliahirishiwa mechi, kwanini Kitayosce ilazimishwe kucheza pungufu?

Hii yote kisa mnyama kuchukua ngao?Au Fei kufunga hat trick?
 
Kwani hao wachezaji vijana wangekaa kambi tofauti na wenzao, kiasi kwamba ugonjwa huo usingewahusu!

Lengo la kuahirisha ilikuwa kuepuka kusambaa kwa ugonjwa huo, sio tu kwa wachezaji wa simba, hata Kagera pia.

Kumbuka, wakati huo, tahadhari kubwa ilikuwa kwenye ugonjwa wa Covid19, ambao mpaka sasa tunauita changamoto za upumuaji.

Narudia tena mechi hizi zina maudhui tofauti katika kuahirishwa kwake. Unakuwa mbishi hadi kwenye maswala ya Afya?? aisee ushabiki usikutioe ufahamu

Usiwe mbishi.
 
Kitayose mechi imechezwa sababu walienda uwanjani wakiwa 8

Simba walibaki 6 wazima
 
Ile nafasi ya Kitayose ilikuwa ya PAMBA waache wavune walichopanda

Hujuma dhidi ya PAMBA zilikuwa za wazi na Karia akaziba masikio Sasa aibebe na huku tuone
Hivi mpango wa kubadili jina kuwa Tabora Utd uliishia wapi?
 
Wananchi twendeni tukakate rufaa CAS. Mbaya zaidi Feitoto amepewa hat-trick, atashirikiana na Simba kutuzodoa
 
Mnaoleta hoja ya izembe wote hoja yenu haina mashiko, msimu uliyoisha baada ya mapinduzi cup Simba ilienda Dubai na kocha Robertinho, tena katikati ya msimu

Tff ikabidi wabadili ratiba waisogeze mbele maana Simba walikuwa na mchezo wakasema wamekosa usafiri wa kurudi mapema ikabidi wapelekewe mbele mchezo wao Kwa sababu ya upuuzi kabisa,

Kwa upande wangu game ya kitayosce Kwa namna yoyote Ile ilibidi ihairishwe ipangiwe tarehe nyingine

Taarifa Yao tff waliitoa asubuh ya kufungiwa, na baadae wakatoa kuwa wamefunguliwa maana malipo wamefanya?? Kwann wasiwaruhusu wacheze?? View attachment 2720159View attachment 2720160
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…