Kwa Hali ilivyo,isiporekebishwa Simba kukosa mbadala waKagere na Boko NI jambo hatari Sana!
Na hili limejitokeza baada ya majeraha ya Boko.Watu wakimkamata Mk14 gemu imeisha,NI heri wangmwacha dogo Salamba tusuesue naye!
Dirisho dogo viongozi walione hili!
Kama Leo wamepigiwa mpira mkubwa na KMC na wamefungwa 2-0Wachezaji wapo ni kwa vile tu kocha hutumia mboga moja kwenye kila mlo.
Miraji Athuman.
Rashid Juma.
Hawa raia wawili wanachelewa kwa uzembe wa kocha.
Kupigwa ni suala la kawaida kwenye soka.Kama Leo wamepigiwa mpira mkubwa na KMC na wamefungwa 2-0
Kama Leo wamepigiwa mpira mkubwa na KMC na wamefungwa 2-0
Unajuaje mkuu huenda ni singo madha!Nioe = nipe
Tuwili.Ngapi hukoooo?
Tatizo walifanya usajili kumkomoa Zahera sasa imekula kwao na Zahera huyo kasepa.Pengo la Mwinyi Zahera laonekana Simba. Mpira una maajabu sana.
Kocha ana kila kitu ila tatizo hakuna anachokijua kuhusu mpira, ana wachezaji kila idara, ndio maana huwa nasema ile timu unaweza ukampa Matola na akafanya maajabu. Tatizo wakiajili kocha wa ndani hawatapata 10%Wachezaji wapo ni kwa vile tu kocha hutumia mboga moja kwenye kila mlo.
Miraji Athuman.
Rashid Juma.
Hawa raia wawili wanachelewa kwa uzembe wa kocha.