Simba ilifanya usajili wa hovyo Sana kwenye fowadi

Simba ilifanya usajili wa hovyo Sana kwenye fowadi

[emoji23]
Walimwacha okwi kisa anataka pesa nyingi wakampa mkataba bocco huku wakijua ni majeruhi Mara kwa Mara wakakimbilia kusajili viungo walimwacha salamba halafu wanalalamika wamepata hasara ya kutolewa champion league wakipoteza bilioni 1.3
 
Back
Top Bottom