PRINCE CROWN
JF-Expert Member
- Feb 12, 2013
- 5,210
- 4,175
[emoji23]
Walimwacha okwi kisa anataka pesa nyingi wakampa mkataba bocco huku wakijua ni majeruhi Mara kwa Mara wakakimbilia kusajili viungo walimwacha salamba halafu wanalalamika wamepata hasara ya kutolewa champion league wakipoteza bilioni 1.3