Simba ilifanya usajili wa hovyo Sana kwenye fowadi

[emoji23]
Walimwacha okwi kisa anataka pesa nyingi wakampa mkataba bocco huku wakijua ni majeruhi Mara kwa Mara wakakimbilia kusajili viungo walimwacha salamba halafu wanalalamika wamepata hasara ya kutolewa champion league wakipoteza bilioni 1.3
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…