Simba ilitumia kigezo gani kumteua cadena ? Wakati akiwa Azam ,magolikipa wa azam moja ya makipa wa bovu ligi ya nbc!!

Simba ilitumia kigezo gani kumteua cadena ? Wakati akiwa Azam ,magolikipa wa azam moja ya makipa wa bovu ligi ya nbc!!

William Mshumbusi

JF-Expert Member
Joined
Mar 27, 2012
Posts
1,761
Reaction score
2,391
Huyu Cadena Kunawatu wamempenyeza aje aivuruge simba kisawasawa. Aliivuruga azam vilivyo. Na sasa kaachiwa timu. Na toka atoke Azam makipa wa Azam wanakuwa bora kila siku. Figisu zimepungua sana. Alipokuwa kule makocha walikuwa hawakai kabisa.

Aliachiwa timu kwa muda Kali Ongala Timu ikapata matokeo mechi 11. Muda wa kukaimu ulipoisha akapewa kwa vyeti vyake lakini kali nyuma huku ndio awe trainers. Akajipa uboss, hakumsikiliza kali, Timu ikaanza kupoteza ovyo ovyo.



Ukweli siiingii uwanjani bila kocha wa kueleweka Simba.
 
Back
Top Bottom