Simba iliyoibiwa inatafuta mawakili wa kuwatetea Aveva!?

Umewahi kumuwekea wakili unayemtuhumu kukuibia? Common let's be logical. Kesi iliyoko mahakamani ni Aveva na Kaburu kuiibia Simba. Kwa mtazamo wangu, Simba walitakiwa waje juu dhidi ya wezi Hawa. Hii ni ajabu nyingine katika soka la TZ
Hauna logic, kwani hao wametuhumiwa na Simba?
 
simba bhana............hahahahaha nacheka kwa dharauuuuuu
Mkuu hizo timu zina siri nyingi, hukumbuki aveva alishaifadhiri simba miaka ya nyuma. Pengine walikua wanaikopesha timu kienyeji na wanajilipa kianyeji.
 
Mkuu hizo timu zina siri nyingi, hukumbuki aveva alishaifadhiri simba miaka ya nyuma. Pengine walikua wanaikopesha timu kienyeji na wanajilipa kianyeji.
Aveva alishaifadhili SSC mwaka gani Mapupu?
 
Aveva alishaifadhili SSC mwaka gani Mapupu?
Usikasirike ndugu.
Kuongoza timu za mpira huku ukiwa masikini ni tabu sana sana sana.
Mara nyingi kunatokeaga ghalama za dharula kama kulipia kambi, au safari za timu au vifaa, madawa na matibabu nk.
Viongozi wanalazimika kukopa pesa hata kwa mtu.
Ona mfano Manji anavyosema anaidai Yanga fc.
Sasa tatizo ni ulipaji wake, kama hiyo pesa ilitolewa kienyeji ni vigumu kuiingiza kwenye vitabu vya ukaguzi.
Hapo ndipo mdai anapolipwa kienyeji, na inaonekana kama pesa imeibiwa.
Simba na Yanga zinahitaji kuingozwa na watu wenye pesa kama
Manji Yanga.
MO Simba.
 
Wezi wafungwe walidhani awamu ya NNE hii...pesa zitawatokea puani umbwa hao
 
Jamani mi nauliza tu
Ivi timu zote za TZ, ni Simba sc pekee yenye hati chafu ?

Nini hasa kimetokea ?
 
Umewahi kumuwekea wakili unayemtuhumu kukuibia? Common let's be logical. Kesi iliyoko mahakamani ni Aveva na Kaburu kuiibia Simba. Kwa mtazamo wangu, Simba walitakiwa waje juu dhidi ya wezi Hawa. Hii ni ajabu nyingine katika soka la TZ
Usishangae mkuu, waweka wakili na wawekewa wakili wote wezi hakuna jipya hapo maana wasipowekewa wakili watatajana mwisho Simba itajikuta haina viongozi wote watakuwa wameungana na akina Aveva
 
Umewahi kumuwekea wakili unayemtuhumu kukuibia? Common let's be logical. Kesi iliyoko mahakamani ni Aveva na Kaburu kuiibia Simba. Kwa mtazamo wangu, Simba walitakiwa waje juu dhidi ya wezi Hawa. Hii ni ajabu nyingine katika soka la TZ
Kwani mlalamikaji ni simba???
 
Usishangae mkuu, waweka wakili na wawekewa wakili wote wezi hakuna jipya hapo maana wasipowekewa wakili watatajana mwisho Simba itajikuta haina viongozi wote watakuwa wameungana na akina Aveva
Hapa nawashangaa wanachama. Walipaswa mpaka Sasa wawawajibishe viongozi waliopo kwa sababu lazima walilifahamu vema hili dili.
 
Nyenyere
Nimekuuliza waliomshtaki ni Simba? Unaleta story za sungusungu, kwani sungu sungu wakimkamata huyo mwizi wanamshtaki wao? , kama mpaka sasa haujui maana ya mtuhumiwa basi tuna tatizo. WanaSimba wanajua why kaburu? Why malinzi? Why now? Na kuna upepo ukipita, utaleta mrejesho.
 
Samahani mkuu.
Nauliza tu kwamba.
Ivi timu zote za ligi ya Tanzania, ni timu ya Simba pekee ndo ina matumizi mabaya ya pesa yaliyofanywa na viongozi wake ?

Ivi Simba pekee ndo ina hati chafu katika ukaguzi wa fedha zake ?
Naomba majibu wadau.
Ni kwanini Simba pekee ndo ifuatiliwe.
Ni kweli timu za
Yanga, mbao, ndanda, JKT zote, Majimaji, Prisoni, Kagera, Stendi, Mwadui, Mbeya City, Azamu, A.Lyoni, Mtibwa, nk
Zina hati safi isipokuwa Simba Sports pekee.
Naomba japo wazo la huu uhakiki.
Kuna nini hasa ?
 
Ungekuwa mfuatiliaji wa soka wala usingekuwa na haja ya kuandika upuuzi huu
 
Mashitaka yote hayo yanahusu pesa za okwi alipouzwa uarabuni na ufafanuzi ulishatoka zamani sana, sisi watu wa soka tunaelewa kwanini ikawa vile na mpaka leo kinachotokea.
 
Tatizo kubwa la watu walioko madarakani kwenye hizi klabu zetu ni watu wa kupachikwa. Hata kutambua kwamba kesi ya mtu binasi haihusiani na masuala ya klabu inakuwa vigumu. Hapa wanataka kutuaminisha kwamba hawa mabwana wameonewa kumbe ni wahalifu.

Hili jambo la fedha za Okwi Rage aliwatahadharisha sana viongozi wa Simba wawe waangalifu. Niwaombe wapenzi wa Simba wawe watulivu na waziache mamlaka za kisheria zifanye kazi yake kwa uadilifu bila mashinikizo. Wasitake kuihusisha klabu ya Simba na uhalifu
 
Simba waunganishwe kwenye kesi wote wezi
Eliimu elimu kitu kizuri wangekaa kimya
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…