Simba iliyoibiwa inatafuta mawakili wa kuwatetea Aveva!?

Ni sawa na Muongo alivyo mdanganya JK kuwa pesa za ESCROW ni za Sethi.

Au Tulivyo ibiwa pesa ya rada na wahuni . Waingereza wakagundua na kuturudishia chenji lakini walioiba hawakuchukuliwa hatua na vijisenti vyao wazungu tukubali wanazidi wengi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…