Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hivi siku hizi uwezo wa kujenga hoja umeshuka sana. Yaani mtu mzima anaibuka na mipasho isiyo na hoja yoyote ya kutetea. Sasa hapa mimi ambaye sijamsikiliza huyo Ahmed shida aliyo nayo naijuaje? Inawezekana mtoa hoja ndiye hajui kitu.Kwa nilivyoona speech yake kwenye press ya jana ni asilimia 100 kuwa Ahmed Ally ni mwehu kabisa maana anaongea vitu vya kipumbavu kabisa.
Nina mashaka na elimu yake huenda hana elimu, ni chawa mmoja mzuri, ni type ya watu wanaoweza kuwa potential kwa CCM.
Aina ya watu walaghai, nimemshusha sana heshima jana.
Hujamsikiliza unachangia nn?Hivi
Hivi siku hizi uwezo wa kujenga hoja umeshuka sana. Yaani mtu mzima anaibuka na mipasho isiyo na hoja yoyote ya kutetea. Sasa hapa mimi ambaye sijamsikiliza huyo Ahmed shida aliyo nayo naijuaje? Inawezekana mtoa hoja ndiye hajui kitu.
Kama ulitaka tusikilize ungeleta sauti hapa. Pamoja na yote husemi kakosea nini una bwabwaja tu.Hujamsikiliza unachangia nn?
Umemaliza Kila kitu. Pipa na mfuniko.Hakunaga msemaji kwenye Simba na Yanga. Wote ni mataahira tu.
No professionalism at all.
Tokea enzi hizo na kina Muro, Manara na wengine.
Anajichekesha kama malaya kaona walletHuwa sisikilizagi interview zake sababu sipendi anavyoongea!
Maskini 🤭Kwa nilivyoona speech yake kwenye press ya jana ni asilimia 100 kuwa Ahmed Ally ni mwehu kabisa maana anaongea vitu vya kipumbavu kabisa.
Nina mashaka na elimu yake huenda hana elimu, ni chawa mmoja mzuri, ni type ya watu wanaoweza kuwa potential kwa CCM.
Aina ya watu walaghai, nimemshusha sana heshima jana.
Yaani sijui ni lafudhi au nini vile, utafikiri jamaa kabemendwa.Huwa sisikilizagi interview zake sababu sipendi anavyoongea!
Kumbe tupo wengi!Yaani sijui ni lafudhi au nini vile, utafikiri jamaa kabemendwa.
Yaani kama ana udumavu wa akili uliopelekea mdomo kuwa mzito, yuko kama nusu kibaba.Kumbe tupo wengi!
Ile lafudhi yake mimi huwa inaniumiza kichwa
Tatizo hataki kutumia sauti yake halisi analazimika kujibinya kooKumbe tupo wengi!
Ile lafudhi yake mimi huwa inaniumiza kichwa
Huu ndo ukweli sasaHakunaga msemaji kwenye Simba na Yanga. Wote ni mataahira tu.
No professionalism at all.
Tokea enzi hizo na kina Muro, Manara na wengine.
Basi nenda kafundishe.Tuliofika chuo hatukogo wavivu ivi muhadhiri alikuwa anatupa tu list ya vitabu tunavitafuta
Kawaida mkuu hata Ali kamwe wa Yanga na wa AZAM media ni tofauti bila kujitoa ufahamu mjini pagumu mkuu.fuatilia kipande anamsifia mgeni rasimi kocha utaona kabisa ni empty skull