Simba imefikia Mahala Wanalilia Kombe la Loosers

Mambo ya Chadema na Ccm yachukulie serious . Ila mambo ya Simba na Yanga usiyachukulie serious, hawa ni watani wa jadi .
 
Ngebe zote zimeisha. Vichaka vya kujificha vimeisha. Vyanzo feki vya furaha yao (feisal, nafasi ya pili n.k) vyote hola. Ushindi walionao ni kuwa na msemaji asiyekata tamaa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…