Simba imekataa kurudiana na timu iliyowafunga 7-0

Simba imekataa kurudiana na timu iliyowafunga 7-0

d7366fa10b25945cc1712d9de7662bf5.jpg
 
Mshalipa deni la mtibwa baada ya kuiba miwa yao
c6798e4a828799c471f42b9b05e00282.jpg
14112c45d3c372545386b562fe6abc99.jpg
mara ya mwisho kuishi maisha haya simba nadhani halotel ilikuwa haijazaliwa,standa ya mabus Dar ilikuwa mnazi mmoja,uwanja wa taifa leo unaitwa uwanja wa uhuru.wachezaji wasimba baadh waliambulia haya miasha walipopata wasaa wakuitumikia timu ya taifa
 
Hahahaha...

Wangerudiana Simba ingepigwa tena 15.

Bora tu wamekataa
 
Back
Top Bottom