Simba imekua mara 3 ya pale dau lilipokua (bilioni 20), hivyo thamani ya club iwe mara 3 zaidi, sio bilioni 20

Simba imekua mara 3 ya pale dau lilipokua (bilioni 20), hivyo thamani ya club iwe mara 3 zaidi, sio bilioni 20

sky soldier

JF-Expert Member
Joined
Mar 30, 2020
Posts
5,407
Reaction score
19,264
Dau liongezeke basi maana Club imekua mara 3 ya pale ilipokua, na pia hio bilioni 20 kwa sasa si kitu, soka la Tz limekua saizi, si mnaona hata azam tu saizi wanatoa pesa kubwa mno kwajili ya haki ya matangazo tu kwa miaka kumi.

Haiwekani Mo achukue kirahisi rahisi klab yetu yeye na familia yake milele kwa kibilioni 20, maana timu inakua na yeye atakua anapokea mgao wake wa asilimia 49 ambao ataamua mwenyewe atumie mambo yake binafsi au lah,

Na tena anaweza kumpa pesa rafiki ama ndugi anunue hata asilimia 2 tu ili awe na hisa asilimia 51.

Jamani simba tuamke aisee, hivi huyu Mo akitangulia mbele alafu mrithi aje awe mtu kutoka familia yake ambae hata hana hamu na mpira itakuwaje, hapo atakua anachukua mapato yote asilimia 49 anafanyia ishu zake.

Kwa upepo huu naona kabisa Mo yupo mbioni kutoa pesa ya bilioni 20 haraka haraka kabla ngoma haijachanganya, akilipia hio bilioni 20 no ndani ya muda mchache tu atairudisha.

Simba jamani tuamke
 
Yeye mwekezaji ndio aliopandisha thamani hio team, usifikiri kwamba team imejipandisha thamani yenyewe tu kwa bahati nasibu.

Sasa unaposema mwekezaji atoe mara tatu ya Billion 20 (Yani Billion 60) inamaana alifanya kosa kubwa sana kufanya juhudi za kuipandisha thamani team ya simba kwa kununua na kuwapandishia mishahara wachezaji/kocha ili uwezo wao uongezeke.

Akili za kimasikini hizo. Ni sawa na mtu kumuuzia gari halafu alipake rangi, aweke mziki mzuri, abadilishe matairi, abadilishe seat cover - Halafu uje kumwambia akuongezee hela ya manunuzi kwasababu gari imepanda thamani. Utatolewa meno mjini.
 
Simba Kama club Haina na Wala haijapanda thamani yoyote, Kama mashabiki Simba inao muda mrefu na hawajawahi kuwa na tija yoyote thamani halisi ya Simba kwa mujibu wa MO ni bilion 4, Yeye MO ndiye aliye sajili na kulipa mishahara, ndie anaye tumia pesa kuhonga Marefa, kulipa waganga, kujenga uwanja wa mazoezi, kusafirisha timu, bila MO Simba inatembeza bakuli kwa friends of Simba.
Kwa ujumla MO ndie aliye ongeza pesa zake Simba ndio iyo thamani ya Simba. MO ameamua kuinunua Simba 20 b kwakua izo ndizo pesa zinazo faa kwa uwekezaji kwa thamani halisi ya timu.
 
Mungu ibariki Simba
giphy.gif
 
Simba Kama club Haina na Wala haijapanda thamani yoyote, Kama mashabiki Simba inao muda mrefu na hawajawahi kuwa na tija yoyote thamani halisi ya Simba kwa mujibu wa MO ni bilion 4, Yeye MO ndiye aliye sajili na kulipa mishahara, ndie anaye tumia pesa kuhonga Marefa, kulipa waganga, kujenga uwanja wa mazoezi, kusafirisha timu, bila MO Simba inatembeza bakuli kwa friends of Simba.
Kwa ujumla MO ndie aliye ongeza pesa zake Simba ndio iyo thamani ya Simba. MO ameamua kuinunua Simba 20 b kwakua izo ndizo pesa zinazo faa kwa uwekezaji kwa thamani halisi ya timu.
Wewe hujui kitu nyamaza.
 
Ewe mkuu wamatopolo tuendolee "k" yako hapa wasije wakakudinya wenye genye zao
 
Dau liongezeke basi maana Club imekua mara 3 ya pale ilipokua, na pia hio bilioni 20 kwa sasa si kitu, soka la Tz limekua saizi, si mnaona hata azam tu saizi wanatoa pesa kubwa mno kwajili ya haki ya matangazo tu kwa miaka kumi.

Haiwekani Mo achukue kirahisi rahisi klab yetu yeye na familia yake milele kwa kibilioni 20, maana timu inakua na yeye atakua anapokea mgao wake wa asilimia 49 ambao ataamua mwenyewe atumie mambo yake binafsi au lah,

Na tena anaweza kumpa pesa rafiki ama ndugi anunue hata asilimia 2 tu ili awe na hisa asilimia 51.

Jamani simba tuamke aisee, hivi huyu Mo akitangulia mbele alafu mrithi aje awe mtu kutoka familia yake ambae hata hana hamu na mpira itakuwaje, hapo atakua anachukua mapato yote asilimia 49 anafanyia ishu zake.

Kwa upepo huu naona kabisa Mo yupo mbioni kutoa pesa ya bilioni 20 haraka haraka kabla ngoma haijachanganya, akilipia hio bilioni 20 no ndani ya muda mchache tu atairudisha.

Simba jamani tuamke
Umeandika upumbavu uliopitiliza
 
Yeye mwekezaji ndio aliopandisha thamani hio team, usifikiri kwamba team imejipandisha thamani yenyewe tu kwa bahati nasibu.

Sasa unaposema mwekezaji atoe mara tatu ya Billion 20 (Yani Billion 60) inamaana alifanya kosa kubwa sana kufanya juhudi za kuipandisha thamani team ya simba kwa kununua na kuwapandishia mishahara wachezaji/kocha ili uwezo wao uongezeke.

Akili za kimasikini hizo. Ni sawa na mtu kumuuzia gari halafu alipake rangi, aweke mziki mzuri, abadilishe matairi, abadilishe seat cover - Halafu uje kumwambia akuongezee hela ya manunuzi kwasababu gari imepanda thamani. Utatolewa meno mjini.
Mtoa mada hata akiambiwa atoe bilioni 1 tu hana alafu anajidai bingwa wa kushauri, hawa ndio walisema azam anainyonya tff kwenye mkataba wa haki za matangazo sasa voda aliposhindwa kusaini mkataba mpya tukawaambia waende wao cha ajabu wamejificha uvunguni
 
Mtoa mada hata akiambiwa atoe bilioni 1 tu hana alafu anajidai bingwa wa kushauri, hawa ndio walisema azam anainyonya tff kwenye mkataba wa haki za matangazo sasa voda aliposhindwa kusaini mkataba mpya tukawaambia waende wao cha ajabu wamejificha uvunguni
Bilioni moja nini mkuu laki hana ya timu kupata maji ya kunywa katika mazoezi watanzania wengi wasenge wanawaza mavuno tu.
 
Dau liongezeke basi maana Club imekua mara 3 ya pale ilipokua, na pia hio bilioni 20 kwa sasa si kitu, soka la Tz limekua saizi, si mnaona hata azam tu saizi wanatoa pesa kubwa mno kwajili ya haki ya matangazo tu kwa miaka kumi.

Haiwekani Mo achukue kirahisi rahisi klab yetu yeye na familia yake milele kwa kibilioni 20, maana timu inakua na yeye atakua anapokea mgao wake wa asilimia 49 ambao ataamua mwenyewe atumie mambo yake binafsi au lah,

Na tena anaweza kumpa pesa rafiki ama ndugi anunue hata asilimia 2 tu ili awe na hisa asilimia 51.

Jamani simba tuamke aisee, hivi huyu Mo akitangulia mbele alafu mrithi aje awe mtu kutoka familia yake ambae hata hana hamu na mpira itakuwaje, hapo atakua anachukua mapato yote asilimia 49 anafanyia ishu zake.

Kwa upepo huu naona kabisa Mo yupo mbioni kutoa pesa ya bilioni 20 haraka haraka kabla ngoma haijachanganya, akilipia hio bilioni 20 no ndani ya muda mchache tu atairudisha.

Simba jamani tuamke
Yaani mtu umemkodisha guest house yako imejaa utando wa buibui, milango ovyo ovyo, cycling board haina, sakafu imechimbika halafu unaiuza unataka umpandishie bei aliyeikarabati bila kujumuisha gharama za ukarabati alizotoa yeye?
 
Back
Top Bottom