Simba imeridhika na kuhadaika na historia, Yanga ikiwa na kiu ya mafanikio na kutengeneza historia

Simba imeridhika na kuhadaika na historia, Yanga ikiwa na kiu ya mafanikio na kutengeneza historia

Yanga ya sasa hata ikifugwa wala shabiki halalamiki kwani unaona wanavyojituma tofauti na Simba ikipata goli moja wanaanza show za kitoto.Na sijuwi Yanga wanatowaga wapi makocha wao,alafu Simba tunakwama.
Hao wahuni akina mangungu na gengelake walimfanyia figisu babra hadi akaondoka , yule dada hana tofaut na injinia wa yanga, wako siriaz sana na mipango inayoelewweka..
Unafikiri hawa viongoz wa saiv wana uçhung na simba au 10% zao za upigaji na matumbo yao,, halaf mmoja wao tapeli anajiita tajiri afrika nzima,, tajiri gan alishindwa kumnunua aziz ki
 
Ni mtazamo tu
Chelsea alibeba UEFA mbele ya Bayern si kwa kuwa Bayern na Barcelona zilikuwa zimeridhika no , ni mpira uliamua iwe hivyo kwa wakati husika tu ,hata hawa Yanga hawatoperform kila siku namna hii na mtakuja kuongea mengi baadae
Najua unatamani iwe hivyo, ila Yanga ktk mechi zake alizo cheza CAF average possession ni zaidi ya 55% ktk mechi zake zote,hata hawa wa leo kwao walituvizia kwa kaunta ila hawa kucheza vizuri kwani hata mechi hiyo Yanga alikuwa na possession kubwa.

Husiongee uongo, Yanga kwenye michuano hii hajawahi kubahatisha,wewe vumilia na mpira wenu wa kubutia mkipata moja mnapaki basi.
 
Back
Top Bottom