Simba imerudi shimoni ilikokuwa, haina tofauti na Gor Mahia

Simba imerudi shimoni ilikokuwa, haina tofauti na Gor Mahia

Its Pancho

JF-Expert Member
Joined
Sep 21, 2018
Posts
15,966
Reaction score
26,404
Wakuu,

Hii team yetu bwana siku zinavyosogea imekuwa jalala. Wenzetu Yanga bajeti yao wameiweka 24 billion sisi eti tukapandisha pia. Ni nini kama sio kutuona mazumbukuku?

Pili inakuwaje mchezaji analalamika hapangwi bila sababu za msingi? Yaani kiongozi anakuja na karatasi ina list tayari. Hayo mambo hufanya Gor Mahia huko Kenya how simba?

Kikao chetu cha juzi na wabunge kutwa tunaiongelea Yanga wakati wao wanaongelea yao.

Tusipoangalia tutashuka daraja kabisa, hivi vikao vya kula ubwabwa na wanzuki havitufai wala kuisogeza team popote.

Hatuna tofauti na gor mahia tena hata hao wametuzidi, yanga wenzetu wako mbali sana. Kikao chetu ungesema kundi la walevi wamekutana yaani ni aibu.

Nahama hill li team.
 
Wakuu
Hii team yetu bwana siku zinavyosogea imekuwa jalala.

Wenzetu yanga bajeti yao wameiweka 24 billion sisi eti tukapandisha pia! Ni nini kama sio kutuona mazumbukuku?

Pili inakuwaje mchezaji analalamika hapangwi bila sababu za msingi?
Yaani kiongozi anakuja na karatasi ina list tayari,
Hayo mambo hufanya gor mahia huko Kenya how simba?

Kikao chetu cha juzi na wabunge kutwa tunaiongelea yanga wakati wao wanaongelea yao

Tusipoangalia tutashuka daraja kabisa, hivi vikao vya kula ubwabwa na wanzuki havitufai wala kuisogeza team popote.

Hatuna tofauti na gor mahia tena hata hao wametuzidi, yanga wenzetu wako mhali sana

Kikao chetu ungesema kundi la walevi wamekutana yaani ni aibu.

Nahama hill li team.
Mpenzi ahami timu.. ww ni shabiki tuu. Ulitegemea mambo muhimu ya uendeshaji wa club yajadiliwe kwenye kikao na wabunge? Mpira una ujasusi ndani yake😂😂😂
 
Mpenzi ahami timu.. ww ni shabiki tuu. Ulitegemea mambo muhimu ya uendeshaji wa club yajadiliwe kwenye kikao na wabunge? Mpira una ujasusi ndani yake😂😂😂
Sizungumzii kikao na wabunge tu
Rudi kikao kikuu cha nyuma hapo na wanachama hapo hatukustahili pia?

Simba ni wahuni
 
Sizungumzii kikao na wabunge tu
Rudi kikao kikuu cha nyuma hapo na wanachama hapo hatukustahili pia?

Simba ni wahuni
Relax acha viongozi wafanye kazi. Mpira wa bongo kuuendesha unahitaji ujasusi wa hali ya juu
 
We bajeti yako nyumbani ni kiasi gani kwa mwaka? Je ni sawa na jirani yako?acha kujipa stress we subiri kushangilia magoli au kusikitika ikifungwa
Bajeti yangu tena? Mbona umechanganya madesa
 
Unadhani ukihama simba watapata hasara gani wakati hata jesy yenyewe unashindwa kununua kama sio shabiki siafu
 
FB_IMG_1682646137959 (1).jpg
 
Unadhani ukihama simba watapata hasara gani wakati hata jesy yenyewe unashindwa kununua kama sio shabiki siafu
Wameshapata hasara kubwa kwa watu kuacha kununua majezi feki yamejaa mpaka sasa kwa vunja bei
Mapato madogo getini msimu ulioisha huoni hiyo ni hasara?

Bado wanatuletea hesabu za uongo
 
Wakuu
Hii team yetu bwana siku zinavyosogea imekuwa jalala.

Wenzetu yanga bajeti yao wameiweka 24 billion sisi eti tukapandisha pia! Ni nini kama sio kutuona mazumbukuku?

Pili inakuwaje mchezaji analalamika hapangwi bila sababu za msingi?
Yaani kiongozi anakuja na karatasi ina list tayari,
Hayo mambo hufanya gor mahia huko Kenya how simba?

Kikao chetu cha juzi na wabunge kutwa tunaiongelea yanga wakati wao wanaongelea yao

Tusipoangalia tutashuka daraja kabisa, hivi vikao vya kula ubwabwa na wanzuki havitufai wala kuisogeza team popote.

Hatuna tofauti na gor mahia tena hata hao wametuzidi, yanga wenzetu wako mhali sana

Kikao chetu ungesema kundi la walevi wamekutana yaani ni aibu.

Nahama hill li team.
Masuala ya bajeti na faida izo ni siasa za mpira wa simba na yanga. Wewe na akili zako unaamini yanga wamepata faida ya 500m na huku wana mkopo wa 4.8b walioiweka kwenye hesabu kama mapato?
 
Umejidhihirisha jinsi ulivyokuwa shabiki maandazi....
Bora iwe hivyo nyeusi iitwe nyeusi sio nyie wanafki mtaita nyeupe
Team la hovyo bado mnalitetea viongozi waongo wanawaona hamnazo
 
Wakuu
Hii team yetu bwana siku zinavyosogea imekuwa jalala.

Wenzetu yanga bajeti yao wameiweka 24 billion sisi eti tukapandisha pia! Ni nini kama sio kutuona mazumbukuku?

Pili inakuwaje mchezaji analalamika hapangwi bila sababu za msingi?
Yaani kiongozi anakuja na karatasi ina list tayari,
Hayo mambo hufanya gor mahia huko Kenya how simba?

Kikao chetu cha juzi na wabunge kutwa tunaiongelea yanga wakati wao wanaongelea yao

Tusipoangalia tutashuka daraja kabisa, hivi vikao vya kula ubwabwa na wanzuki havitufai wala kuisogeza team popote.

Hatuna tofauti na gor mahia tena hata hao wametuzidi, yanga wenzetu wako mhali sana

Kikao chetu ungesema kundi la walevi wamekutana yaani ni aibu.

Nahama hill li team.
Hebu subiri hapohapo kwanza, unaposema

"Simba imerudi shimoni ilikokuwa , haina tofauti na gor mahia".​

naomba kufahamishwa hapo umetumia takwimu zipi? Maana kwa takwimu zilizopo inaonyesha Simba imemaliza ligi ikiwa ya pili nyuma ya Yanga, kwenye michuano ya Club Bingwa Afrika ilifanikiwa kufika hatua ya robo fainali, huku kwwnye michuano ya Azam confederation napo ilifanikiwa kufika robo fainali. Upande wa wadhamini ni katika ya timu zenye udhamini mkubwa nyini.

Je, maelezo yako yanakua supported na kitu gani?
 
Masuala ya bajeti na faida izo ni siasa za mpira wa simba na yanga. Wewe na akili zako unaamini yanga wamepata faida ya 500m na huku wana mkopo wa 4.8b walioiweka kwenye hesabu kama mapato?
Hapo unaona wazi kuwa nipo sahihi kuhama li team hilo
Wenye macho tumeona namba yanga walivyojaza viwanja na mauzo ya jezi kiasi cha kutisha.

Sasa ukiwa na deni hupati faida?
Nimekopa hela nafanya biashara ina maana sipati faida? Kuwa muelewa mkuu
 
Hapo unaona wazi kuwa nipo sahihi kuhama li team hilo
Wenye macho tumeona namba yanga walivyojaza viwanja na mauzo ya jezi kiasi cha kutisha.

Sasa ukiwa na deni hupati faida?
Nimekopa hela nafanya biashara ina maana sipati faida? Kuwa muelewa mkuu
Acha uzuzu basi. Simba hatuna watu wenye akili zako
 
Hebu subiri hapohapo kwanza, unaposema

"Simba imerudi shimoni ilikokuwa , haina tofauti na gor mahia".​

naomba kufahamishwa hapo umetumia takwimu zipi? Maana kwa takwimu zilizopo inaonyesha Simba imemaliza ligi ikiwa ya pili nyuma ya Yanga, kwenye michuano ya Club Bingwa Afrika ilifanikiwa kufika hatua ya robo fainali, huku kwwnye michuano ya Azam confederation napo ilifanikiwa kufika robo fainali. Upande wa wadhamini ni katika ya timu zenye udhamini mkubwa nyini.

Je, maelezo yako yanakua supported na kitu gani?
Club ambayo inajiita kubwa lazima iset standard kama mlizoset.
Wakati ligi inaanza mlisema malengo ni kufika nusu fainali cafcl hapa tumefeli ..

Kurudisha kombe la ligi kuu kutoka yanga hapo tumefeli.

Kurudisha fa napo tumefeli.

Kiufupi tumembulia patupu msimu wa pili mfululizo.

Haya kuna mafanikio gani hapo? Kama huko caf wenzetu yanga wamefika mpaka final
 
Back
Top Bottom