babu onyango
JF-Expert Member
- Jan 12, 2023
- 378
- 984
Wote ni wa free mkuu. Halafu eti wanataka kuchukua kombe la Afrika kwa wachezaji wa freeHuyo Mcongo Tp Mazembe wamemtowa kwa mkopo ni free agency.
Talents? Just like Kibu D, kyombo, akpan, okwa, kapama, ouatara etcSimba Kam Liverpool, always we believe in talents not big names.
thank you
Pia kuna top scorer wa ligi ya Zambia na kapteni wa Mali huko CHAN wamesajiliwa na Mlandege ya huko Zanzibar [emoji1][emoji1]Ajabu mudathiri yahaya kanunuliwa pale azam fc kwa milioni 150 alafu Simba wanavizia vya bure inashangaza.....!!!!
Kabisa mkuu yanga awataka free wao ni kulipa Tu 150 Kwa muda hawa wengne sijui shangapiPia kuna top scorer wa ligi ya Zambia na kapteni wa Mali huko CHAN wamesajiliwa na Mlandege ya huko Zanzibar [emoji1][emoji1]
Bila kusahau mudathiri kanunuliwa kwa bei mbaya sanakambole,bigirimana,makambo
Tetesi zinasema million 882.935 zilitumika kuvunja mkataba wa mudathiri hapo hujaweka mengineyo! Hawa mlandege fc wana hela kwelikweli kuliko tuwachukuliavyoBila kusahau mudathiri kanunuliwa kwa bei mbaya sana
Bigirimana ilikuwa euro milioni 150Ajabu mudathiri yahaya kanunuliwa pale azam fc kwa milioni 150 alafu Simba wanavizia vya bure inashangaza.....!!!!
Deo kanda alikuja kwa mkopo na Moto ulionekanaHata simba ikitoa wachezaji wake wanaweza onekana n wabovu ila huko waendako wanakuwa lulu.
Kikubwa ngoja wacheze tutaona kama simba imeingilia mlango wa kutokea ama la!
Umepanic. Ukweli unauma siku zoteunaulizwa kuhusu Bigirimana unarukatuka tu.
ovyooo.
Hata mzungu, okwa, akpan,kapama Kibu d kyombo wote tulisema na wamefloo woteHaya maneno tulishayazoea sana. Makocha wa mitandaoni wanaongea sana kama walivyomponda yule mrundi.
Subiri waingie uwanjani kucheza ndiyo utoe hukumu yako.