Simba Imeshafuzu tayari robo fainali

Simba Imeshafuzu tayari robo fainali

Sasa hata sheria za caf kuhusu timu zikiwa sawa Nini kinaangaliwa hujui sheikh??

Endapo timu zikiwa sawa point caf sheria zao hawaangalii GD kwanza .. wanaangalia head to head(baina ya timu zinazokua na point sawa).....

Yanga na Crb zikiwa sawa point wataangalia mechi baina Yao ambapo yanga alifungwa 3-0 1st leg akaja kushinda 4-0 2nd leg .. hivo automatically yanga ashafuzu hata akipigwa goli 100 na Al ahly
Ahhh nimeelewa...umetisha
 
Sheria ishabadirika ikitokea crb akishinda mechi ya mwisho na mediema na kua na point nane kama Yanga then Yanga akapoteza Kwa Al alhaly basi wanatazama walipokutana wenyewe Kwa wenyewe ni nan alimfunga mwenzake goli nyingi ndio anaepita so mpaka sasa Yanga kashaingia robo coz hawawezi kukutana tena na Crb kwenye hatua hii ya makundi.
Nimeelewa sasa..Asante
 
Achana na kigezo cha goal difference, kigezo muhimu cha kwanza baada ya points ni head to head, Yanga alifungwa tatu na hao waarabu na jana Yanga kampiga nne, hivyo head to head Yanga ni mshindi, automatically ameshafuvu.
Umetisha mkuu, nimeelewa sasa.
Nlikua najua kigezo cha pili ni GD.

Mimi ni mwananchi kindaki ndaki....ushindi wa Jana umepunguza machungu ya watoto wa 10hag
 
Simba makundi robo sio habari tena tunawaza nusu tunafikaje.
 
Wakuu,
Ikitokea matokeo za mwisho yakawa hivi, ni kwamba safari ya Yanga itakua imefika mwisho kwenye makundi?

Al Ahly 1 - 0 Yanga SC
CRB 6 - 0 Medeama
Wewe inaonekana umelewa ulanzi kwani hakuna unachojua hapo.
 
Nkua nataka nione numbers.

Kwa sasa CRB yuko nyuma ya Yanga kwa 6 goals na point 3.

Je kwenye mechi ya mwisho CRB akamfunga Medeama goli 7 - 0 si atakua amemzidi yanga.

Itakuaje. Naomba nieleweshwe
Jaribu kuficha ujinga wako..... Hata ashinde magoli 700 na Yanga afungqw 1000 Yanga ameshapita .... Kawasadie jikoni kukata vitunguu kama Soka hulijui Kanuni zake..usilazimishe..... Wakilingana point kinachoangaliwa sio gaal difference kinaangaliwa H2H....
 
Back
Top Bottom