Mr Confidential
JF-Expert Member
- Jul 1, 2018
- 1,532
- 2,415
Ahhh nimeelewa...umetishaSasa hata sheria za caf kuhusu timu zikiwa sawa Nini kinaangaliwa hujui sheikh??
Endapo timu zikiwa sawa point caf sheria zao hawaangalii GD kwanza .. wanaangalia head to head(baina ya timu zinazokua na point sawa).....
Yanga na Crb zikiwa sawa point wataangalia mechi baina Yao ambapo yanga alifungwa 3-0 1st leg akaja kushinda 4-0 2nd leg .. hivo automatically yanga ashafuzu hata akipigwa goli 100 na Al ahly
Nimeelewa sasa..AsanteSheria ishabadirika ikitokea crb akishinda mechi ya mwisho na mediema na kua na point nane kama Yanga then Yanga akapoteza Kwa Al alhaly basi wanatazama walipokutana wenyewe Kwa wenyewe ni nan alimfunga mwenzake goli nyingi ndio anaepita so mpaka sasa Yanga kashaingia robo coz hawawezi kukutana tena na Crb kwenye hatua hii ya makundi.
Umetisha mkuu, nimeelewa sasa.Achana na kigezo cha goal difference, kigezo muhimu cha kwanza baada ya points ni head to head, Yanga alifungwa tatu na hao waarabu na jana Yanga kampiga nne, hivyo head to head Yanga ni mshindi, automatically ameshafuvu.
Yanga ni kama maji. Usipoyanywa utayaogaUnapoweka bandiko uwage na misimamo....!
Kichwa cha Habari Simba Kafuzu....Pongezi unatoa Kwa Utopolo...which is which!!
acha ubishi wa kima.ta.koNkua nataka nione numbers.
Kwa sasa CRB yuko nyuma ya Yanga kwa 6 goals na point 3.
Je kwenye mechi ya mwisho CRB akamfunga Medeama goli 7 - 0 si atakua amemzidi yanga.
Itakuaje. Naomba nieleweshwe
Upo hai na unauliza swali kama hili,hata ingekuwa hatujawahi kufika unataka tufikirie kufika hatua ya makundi tu!Mshawahi kufika?
Mkuu, nimekosea kuomba kueleweshwa?acha ubishi wa kima.ta.ko
Mkuu, nimekosea kuomba kueleweshwa?
MbumbumbuWakuu,
Ikitokea matokeo za mwisho yakawa hivi, ni kwamba safari ya Yanga itakua imefika mwisho kwenye makundi?
Al Ahly 1 - 0 Yanga SC
CRB 6 - 0 Medeama
GD inayoangaliwa ni mlivyokutanaKwanini?
Wakati point watakua sawa, CRB atakua amemzidi GD yanga.
Wewe inaonekana umelewa ulanzi kwani hakuna unachojua hapo.Wakuu,
Ikitokea matokeo za mwisho yakawa hivi, ni kwamba safari ya Yanga itakua imefika mwisho kwenye makundi?
Al Ahly 1 - 0 Yanga SC
CRB 6 - 0 Medeama
Mwakarobo tangu lini mliwahi ifikiria nusu 😁😁Robo sio shida za simba,inafikiri nusu fainali au zaidi.
Jaribu kuficha ujinga wako..... Hata ashinde magoli 700 na Yanga afungqw 1000 Yanga ameshapita .... Kawasadie jikoni kukata vitunguu kama Soka hulijui Kanuni zake..usilazimishe..... Wakilingana point kinachoangaliwa sio gaal difference kinaangaliwa H2H....Nkua nataka nione numbers.
Kwa sasa CRB yuko nyuma ya Yanga kwa 6 goals na point 3.
Je kwenye mechi ya mwisho CRB akamfunga Medeama goli 7 - 0 si atakua amemzidi yanga.
Itakuaje. Naomba nieleweshwe
Kanuni za CAF wanaanza na h2h then ndo goal difference.Kwanini?
Wakati point watakua sawa, CRB atakua amemzidi GD yanga.