Simba imeshamshinda kuanzia leo, asubiri kufurumushwa muda sio mrefu

Leonel Ateba Mbinda

JF-Expert Member
Joined
Feb 20, 2023
Posts
644
Reaction score
2,695
Hivi Robertinho mchezaji Mosses Phiri amekukosea nn? Kama Phiri hafai kwanini uendelee kubaki nae wakati msimu haujaanza bro? Hivi kweli Phiri anaweza kukaa benchi kwa Kibu Dennis? Mechi ya leo ya kutambulisha wachezaji humpi nafasi, when are you going to give him a chance to show hicls ability?

Hivi kweli kwa uwezo wa Fabrice ule ni wa kuwekwa benchi na Mzamiru? Kweli jamani au tunataka kuaibishwa na Singida?

Robertinho usije ukasema Mgunda alikuwa anakuhujumu lkn mwisho wa siku wana Simba hawatakuelewa, Phiri anastahili kucheza
 
Unatumia hasira kuraise arguments zako, sidhani hata kama Simba wenzako watakubaliana na wewe.

Hii ilikuwa mechi ya majaribio, huwezi kumlaumu Kocha kuanzisha Ngoma nje, pengine ana vitu vyake alikuwa anaangalia. Hivi unadhani kwenye mechi ya ushindani Kocha anaweza kumuweka Kibu namba 9, alaf Baleke aanzie nje?

Kuna watu mnaendaga kuangalia for the sake ya kupoteza muda tu.
 
Shabiki maandazi hawa. Umeshinda game bado unalalamika nini! Nyie ndio mnaotuharibia mpira
 
Mh
 
Acha upumbavu Kwan Ile ni mechi ya kimashindano? Yaani unampima Kocha kwenye bonanza?acheni viherehere kuingilia kazi zisizowahusu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…