Leonel Ateba Mbinda
JF-Expert Member
- Feb 20, 2023
- 644
- 2,695
Unatumia hasira kuraise arguments zako, sidhani hata kama Simba wenzako watakubaliana na wewe.Hivi Robertinho mchezaji Mosses Phiri amekukosea nn? Kama Phiri hafai kwann uendelee kubaki nae wakat msimu haujaanza bro? Hiv kweli Phiri anaweza kukaa benchi kwa Kibu Dennis? Mechi ya leo ya kutambulisha wachezaji humpi nafasi, when are you going to give him a chance to show hicls ability?
Hiv kweli kwa uwezo wa Fabrice ule ni wa kuwekwa benchi na Mzamiru? Kweli jamani au tunataka kuaibishwa na Singida?
Robertinho usije ukasema mgunda alikuwa anakuhujumu lkn mwisho wa siku wana Simba hawatakuelewa, Phiri anastahili kucheza
Mechi ya majaribio hii mtani. Pengine bado anamajeraha ambayo Kocha hakutaka kuyariskNa limfikie haswaaa...tumemchoka tena tumechoka haswaaa...sijui ana matatizo gani...
Shabiki maandazi hawa. Umeshinda game bado unalalamika nini! Nyie ndio mnaotuharibia mpiraHivi Robertinho mchezaji Mosses Phiri amekukosea nn? Kama Phiri hafai kwann uendelee kubaki nae wakat msimu haujaanza bro? Hiv kweli Phiri anaweza kukaa benchi kwa Kibu Dennis? Mechi ya leo ya kutambulisha wachezaji humpi nafasi, when are you going to give him a chance to show hicls ability?
Hiv kweli kwa uwezo wa Fabrice ule ni wa kuwekwa benchi na Mzamiru? Kweli jamani au tunataka kuaibishwa na Singida?
Robertinho usije ukasema mgunda alikuwa anakuhujumu lkn mwisho wa siku wana Simba hawatakuelewa, Phiri anastahili kucheza
Hapa issue siyo ushindi, wachezaji wa msimu huu uwezo wao upojeShabiki maandazi hawa. Umeshinda game bado unalalamika nini! Nyie ndio mnaotuharibia mpira
Mtombangile [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Kibu D
MhHivi Robertinho mchezaji Mosses Phiri amekukosea nn? Kama Phiri hafai kwann uendelee kubaki nae wakat msimu haujaanza bro? Hiv kweli Phiri anaweza kukaa benchi kwa Kibu Dennis? Mechi ya leo ya kutambulisha wachezaji humpi nafasi, when are you going to give him a chance to show hicls ability?
Hiv kweli kwa uwezo wa Fabrice ule ni wa kuwekwa benchi na Mzamiru? Kweli jamani au tunataka kuaibishwa na Singida?
Robertinho usije ukasema mgunda alikuwa anakuhujumu lkn mwisho wa siku wana Simba hawatakuelewa, Phiri anastahili kucheza
Mhh amezidi mtani..Mechi ya majaribio hii mtani. Pengine bado anamajeraha ambayo Kocha hakutaka kuyarisk
Mnajua status ya Phiri ipoje? Hana majeraha yoyote?Mhh amezidi mtani..
Hana bwana na ndo maana alikua kwny sub...alishapona hata kama anayo atapata wapi fitness kama gemu kama hii ambayo ni ya kujitazama tuu anashindwa kumpanga?.Mnajua status ya Phiri ipoje? Hana majeraha yoyote?
Acha upumbavu Kwan Ile ni mechi ya kimashindano? Yaani unampima Kocha kwenye bonanza?acheni viherehere kuingilia kazi zisizowahusu.Hivi Robertinho mchezaji Mosses Phiri amekukosea nn? Kama Phiri hafai kwann uendelee kubaki nae wakat msimu haujaanza bro? Hiv kweli Phiri anaweza kukaa benchi kwa Kibu Dennis? Mechi ya leo ya kutambulisha wachezaji humpi nafasi, when are you going to give him a chance to show hicls ability?
Hiv kweli kwa uwezo wa Fabrice ule ni wa kuwekwa benchi na Mzamiru? Kweli jamani au tunataka kuaibishwa na Singida?
Robertinho usije ukasema mgunda alikuwa anakuhujumu lkn mwisho wa siku wana Simba hawatakuelewa, Phiri anastahili kucheza