van kenan jr
Member
- Apr 2, 2024
- 8
- 8
Tena watakuwa mazuzu mwisho wataanza laumu kwann hawafanikiwiUkishabikia sana Simba na Yanga kichwani zinapungua Lazima.
KUNA VIJANA WENGI MNO AKILI ZIMERUKA KABISA, HAWANA FUTURE WAO NI KUWAZA SIMBA NA YANGA TU.....
MSIPOTEZE MUDA NA UPUUZI WA SIMBA NA YANGA.
MY MESSAGE
MWENYE MASIKIO NA ASIKIE
Rangi nyekundu.....Haina barakaWavuta bangi wengi hupendelea rangi nyekundu.
Wachawi na waganga wa kienyeji hupendelea rangi nyekundu.
Vichaa hupendelea rangi nyekundu.
Waasi na wamwagaji damu hupendelea rangi nyekundu.
Dalili mbaya au hatari hutumika rangi nyekundu.
Si unge sign out na kuhamia kwenye mitandao mingine mfano facebook! Kwani ni lazima uwemo humu jamii forums?Nili kuignore sijui imekuwaje naona thread zako?????????!!!!
Vijana wa kanjibai mambo mengi MkuuSi unge sign out na kuhamia kwenye mitandao mingine mfano facebook! Kwani ni lazima uwemo humu jamii forums?
Halafu hakuna aliyekulazimisha kuchangia mada humu jukwaani! Kama mada huipendi, unapita kushoto! Na siyo kutuonesha kama wewe ni much know sana, na pia una msongo mkali wa mawazo. Haitusaidii chochote.
Naona sasa hivi hawa tupangii list ya Mamelod kama walivyokuwa wakifanya wiki mbili zilizopita. Nawakumbusha mwenye dimba lake Dieng karudi.Kama mchambuzi mahiri wa soka hapa JF nimeona Simba ikiendelea kujaa kwenye mifumo ya Yanga. Kila kwenye mechi zake hivyo kukosa attention hivyo kuishia kukandwa daily.
Suala la mshabiki wa Yanga kichangiwa kwenda south Africa limeiuza sana timu yetu ya Simba mpaka kufikia Ahmed ally kuongea Kwa jazba na Kwa uchungu mzito so hili suala litawavuruga makolo to their death pale Egypt.
Quatation toka kwa mdau humu JFExy Simba bana, mlisema mashabiki wa Yanga nI maskini hawawezi kujilipia viingilio. Kupitia kauli zenu uongozi wa yanga ukaiomba serikali iwasaidie Hawa mashabiki maskini kwenda bonde. Serikali imekubali hao kwa madiba.
Mnacholalamika nini wakati Yanga ni ombaomba? Au nanyie mnataka msaada ila mbaogopa kuitwa maskini? Tajiri hawezi kuumia pale maskini anaoosaidiwa!
NB: Makolo bado hamjasema, msisahau kuwa ni Young Africans ndio waliopigania Uhuru wa Tanzania.
uhalisia ndo huo utakuja nambia baada ya michezo ya ijumaaDaaah unakosea Mkuu