Simba imeshinda mchezo lakini Yanga tulikuwa bora zaidi yao

Simba imeshinda mchezo lakini Yanga tulikuwa bora zaidi yao

Kilichotuangusha Yanga ni Red Card. Laiti kama ile card isingekuwepo palikuwepo uwezekano mkubwa wa Yanga kuibuka washindi

Hebu fikiria kwa dakika 40+ Yanga imecheza wakiwa pungufu ya mtu mmoja lakini Simba kwa muda wote huo wameshindwa kabisa kuziona nyavu pamoja kuwa na wachezaji wao ambao wenyewe wanawaamini kupitiliza katika kutupia, Chama, Miquessone na Mugalu.

Sasa utajiuliza je Wananchi wangekua wametimia matokeo yangesema nini?

Yanga tusife moyo uwanjani tulikua bora,goli tulilofungwa yawezekana kabisa jua lililokua likipiga upande ule lilichangia sana kwa kipa na mabeki kutouona mpira vizuri ikumbukwe hata kipindi cha kwanza kona walizokua wakipiga Yanga upande ule jua liliwasumbua sana hasa Aishi Manula na Mabeki

Ýanga tusife moyo hakika tulikua bora zaidi yao uwanjani, hakika hawa siku zao zinahesabika wacha tushushe vifaa vya uhakika wakiweno Heritier Makambo, Fistoo Mayele na Shabaan Djumaa.

Mkuu Mpira haupo hivyo. Unakumbuka kuna mechi simba alipata kadi nyekundu kipindi cha kwanza huku yanga anaongoza goli moja lakini Simba ikaishia kushinda mbili kwa moja pamoja na kuwa pungufu.

Team iliyopungufu huwa inacheza kwa tahadhari na kushtukiza na Jana kama Yacouba angetlia na ile chance nisngee shanga yanga kushinda ile game.

Team ikiwa pungufu inazuia sana na kutafuta nafasi za kushtukiza ambazo ni hatari sana.
 
Simba wanaweza wakatamba kwa timu zote Ila si kwa Yanga, Yanga ndio timu pekee inayo waonyesha Simba timu yao ni yakawaida na hawana ukubwa wanao ufikiria.

IMG_3737.jpg
 
Kilichotuangusha Yanga ni Red Card. Laiti kama ile card isingekuwepo palikuwepo uwezekano mkubwa wa Yanga kuibuka washindi

Hebu fikiria kwa dakika 40+ Yanga imecheza wakiwa pungufu ya mtu mmoja lakini Simba kwa muda wote huo wameshindwa kabisa kuziona nyavu pamoja kuwa na wachezaji wao ambao wenyewe wanawaamini kupitiliza katika kutupia, Chama, Miquessone na Mugalu.

Sasa utajiuliza je Wananchi wangekua wametimia matokeo yangesema nini?

Yanga tusife moyo uwanjani tulikua bora,goli tulilofungwa yawezekana kabisa jua lililokua likipiga upande ule lilichangia sana kwa kipa na mabeki kutouona mpira vizuri ikumbukwe hata kipindi cha kwanza kona walizokua wakipiga Yanga upande ule jua liliwasumbua sana hasa Aishi Manula na Mabeki

Ýanga tusife moyo hakika tulikua bora zaidi yao uwanjani, hakika hawa siku zao zinahesabika wacha tushushe vifaa vya uhakika wakiweno Heritier Makambo, Fistoo Mayele na Shabaan Djumaa.
Inge inge achana na haya mambo ya ngeli
 
Kilichotokea ni simba kucheza taipu ya mpira wa yanga kutokana na uwanja...
 
Kilichotuangusha Yanga ni Red Card. Laiti kama ile card isingekuwepo palikuwepo uwezekano mkubwa wa Yanga kuibuka washindi

Hebu fikiria kwa dakika 40+ Yanga imecheza wakiwa pungufu ya mtu mmoja lakini Simba kwa muda wote huo wameshindwa kabisa kuziona nyavu pamoja kuwa na wachezaji wao ambao wenyewe wanawaamini kupitiliza katika kutupia, Chama, Miquessone na Mugalu.

Sasa utajiuliza je Wananchi wangekua wametimia matokeo yangesema nini?

Yanga tusife moyo uwanjani tulikua bora,goli tulilofungwa yawezekana kabisa jua lililokua likipiga upande ule lilichangia sana kwa kipa na mabeki kutouona mpira vizuri ikumbukwe hata kipindi cha kwanza kona walizokua wakipiga Yanga upande ule jua liliwasumbua sana hasa Aishi Manula na Mabeki

Ýanga tusife moyo hakika tulikua bora zaidi yao uwanjani, hakika hawa siku zao zinahesabika wacha tushushe vifaa vya uhakika wakiweno Heritier Makambo, Fistoo Mayele na Shabaan Djumaa.

Tunachojuwa wahuni tumenyandua..

Japo goli moja..
 
Simba wanaweza wakatamba kwa timu zote Ila si kwa Yanga, Yanga ndio timu pekee inayo waonyesha Simba timu yao ni yakawaida na hawana ukubwa wanao ufikiria.
Nipe matokeo umepigwa cha nguruwe watlto kumi
 
Kilichotuangusha Yanga ni Red Card. Laiti kama ile card isingekuwepo palikuwepo uwezekano mkubwa wa Yanga kuibuka washindi

Hebu fikiria kwa dakika 40+ Yanga imecheza wakiwa pungufu ya mtu mmoja lakini Simba kwa muda wote huo wameshindwa kabisa kuziona nyavu pamoja kuwa na wachezaji wao ambao wenyewe wanawaamini kupitiliza katika kutupia, Chama, Miquessone na Mugalu.

Sasa utajiuliza je Wananchi wangekua wametimia matokeo yangesema nini?

Yanga tusife moyo uwanjani tulikua bora,goli tulilofungwa yawezekana kabisa jua lililokua likipiga upande ule lilichangia sana kwa kipa na mabeki kutouona mpira vizuri ikumbukwe hata kipindi cha kwanza kona walizokua wakipiga Yanga upande ule jua liliwasumbua sana hasa Aishi Manula na Mabeki

Ýanga tusife moyo hakika tulikua bora zaidi yao uwanjani, hakika hawa siku zao zinahesabika wacha tushushe vifaa vya uhakika wakiweno Heritier Makambo, Fistoo Mayele na Shabaan Djumaa.
Mara ngapi tunawafunga tukiwa pungufu?
 
Simba wanaweza wakatamba kwa timu zote Ila si kwa Yanga, Yanga ndio timu pekee inayo waonyesha Simba timu yao ni yakawaida na hawana ukubwa wanao ufikiria.
Timu ya kawaida inabeba ubingwa back 2 back misimu minne,timu ya kawaida inatinga CAFCL robo fainali ikiwa ya kwanza kwenye kundi lake.,timu ya kawaida inatoa wachezaji kwenye kikosi bora cha CAFCL,kwenye list ya timu bora Africa Simba inashika nafasi ya 13.
Kama utabisha basi bishana na namba.
 
Timu ya kawaida inabeba ubingwa back 2 back misimu minne,timu ya kawaida inatinga CAFCL robo fainali ikiwa ya kwanza kwenye kundi lake.,timu ya kawaida inatoa wachezaji kwenye kikosi bora cha CAFCL,kwenye list ya timu bora Africa Simba inashika nafasi ya 13.
Kama utabisha basi bishana na namba.
Ayo Mambo ya kucheza robo fainali Mara mbili mfululizo Yanga ilisha fanya enzi hizo misimu ya 1969 na 1970 mnacho fanya Simba ni marudio izo zaligi ya ndani Yanga Alisha beba miaka mitano mfululizo kutoka 1968- 1972 Simba katika soka la nchi hii Hana maajabu dhidi ya Yanga.
 
Nasikia mzee mpili wamemtelekeza kigoma
Mwacheni mzee wa watu,yeye alichokisema toka mwanzo ni kua mkikaa vibaya anawapiga tena si kama kasema hamtoki kama lilivyo lile tangazo la azam
 
Ayo Mambo ya kucheza robo fainali Mara mbili mfululizo Yanga ilisha fanya enzi hizo misimu ya 1969 na 1970 mnacho fanya Simba ni marudio izo zaligi ya ndani Yanga Alisha beba miaka mitano mfululizo kutoka 1968- 1972 Simba katika soka la nchi hii Hana maajabu dhidi ya Yanga.
Yanga walikua bora kipindi icho cha 1969 na 1970.Yanga pia walibeba mataji mfululizo kama ulivyosema kwasababu kwa kipindi hicho walikua bora.
Point yangu ni kwamba timu bora inafanya vizuri,Simba kwa sasa ni bora ndo maana inafanya vizuri,usiifananishe na Yanga butuabutua yao uwanjani.
 
Ayo Mambo ya kucheza robo fainali Mara mbili mfululizo Yanga ilisha fanya enzi hizo misimu ya 1969 na 1970 mnacho fanya Simba ni marudio izo zaligi ya ndani Yanga Alisha beba miaka mitano mfululizo kutoka 1968- 1972 Simba katika soka la nchi hii Hana maajabu dhidi ya Yanga.
Duuuuhhh mambo ya 1968 tena!!?.
 
Back
Top Bottom