Simba imeshinda mchezo lakini Yanga tulikuwa bora zaidi yao

Ulikwepo hiyo miaka? Sawa mlikuwa Bora miaka hiyo Sasa kwann hutak kukubali kuwa Simba ni Bora kwa wakati huu?

Basi tufanye yanga ni Bora zaidi ya Simba ,vipi umeridhika hapo
 
 
Kuna watu wanasingizia eti walikua pungufu 😀😀

Simba v yanga 2005
Final tusker cup
Victor Costa red card dk ya 38

Mwisho wa game simba 2 -0 yanga

Simba v yanga 2006
Morogoro
Henry Joseph red card dk ya 10

Mwisho wa game simba 1-0 yanga

Mwaka 2017
Simba v yanga

Mkude red card dk ya 28

Mwisho wa game 1-1

Mwaka 2017 tena
Simba v yanga

Bukungu redcar dk ya 59
Mwisho wa game simba 2-1 yanga


Mpaka hapo tuelewane redcard sio kisingizio
 
Utopolo wanjidanganya *****.
1.Nidhamu yenu ya mchezo ni mbov kinoma
2 litimu bado halijaunganika vizuri alafu mnafoc kucheza kwa speed na kukamia matokeo yake pira lenu linakuwa la kihuni 2.
3. Kisingizio cha kadi ni ushamba tu. Sisi tumeshawahi kuwapiga nyinyi mech 5 tukiwa pungufu
4. Kama unahisi nyinyi ni bora kwakuwa mlifungwa gol Moja na simba. Vp kuhusu prison ambaye simba Alipata draw ya 1-1 aliyakuwa prison Alipata red card?
Kama ndo hvyo prison Naye si angekuwa mbali.
Kubalini ukweli kwamba timu lenu la kilevi tu.
 
Maneno ya mkosaji hamkosi la kujitetea nyie mashabiki wa Uto
kama ninyi ni bora basi mnge beba ligi kuu
kama ninyi ni bora mngebeba pia ilo kombe la Azam Confederatio Cup
 
Nyinyi ni bora kwenye vurugu tu, mlitaka kutuharibia shughuli lkn balaa likawakuta
 
Simba wanaweza wakatamba kwa timu zote Ila si kwa Yanga, Yanga ndio timu pekee inayo waonyesha Simba timu yao ni yakawaida na hawana ukubwa wanao ufikiria.
Kivipi yani? Kwa zile karate?.
 
Maneno ya mkosaji hamkosi la kujitetea nyie mashabiki wa Uto
kama ninyi ni bora basi mnge beba ligi kuu
kama ninyi ni bora mngebeba pia ilo kombe la Azam Confederatio Cup
Wao wanabeba mabonanza tu mapinduzi cup

Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
 
Sema nini.... Lwanga aliingiza kichwa kwa nguvu sna ndio maana mkaumia na hamkubali ukweli.
 
Ndo standards za yanga hizi?

Simba wanaweza wakatamba kwa timu zote Ila si kwa Yanga, Yanga ndio timu pekee inayo waonyesha Simba timu yao ni yakawaida na hawana ukubwa wanao ufikiria.
 
Huu ndiyo ubora? Nendeni mkashitaki CAS ili Simba wanyang'anywe lile kombe
Your browser is not able to display this video.
 
Sasa ubora wenu ulikuwa kwenye nini kitakwimu?Mmewazidi Simba kwa idadi ya kadi Nyekundu?ndio ubora wenu?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…