Simba imewezekanaje kuanza msimu bila kusoma mapato na matumizi kwa wanachama wake?

Simba imewezekanaje kuanza msimu bila kusoma mapato na matumizi kwa wanachama wake?

bullar

JF-Expert Member
Joined
Aug 16, 2014
Posts
9,530
Reaction score
20,988
Hii kitu imenipa maswali kadhaa kichwani je club yetu bado ni ya wanachama au ishakua ya mtu binafsi?

imewezekanaje msimu wa 23/24 umeisha na mwingine huu wa 24/25 ume anza bila kua na mkutano mkuu wala kusomewa budget ya mapato na matumizi?

Ina maana timu yetu inajiendea tu kama timu ya ndondo au ni nini hasa kinafichwa?mwaka jana walitusomea bajeti na mafanikio ya WhatsApp channel japo ya uongo na kweli lakini afadhari walitimiza wajibu , hii club ina shida sehemu ndio maana Mzee Rage alituita jina la ajabu na Kaduguda akakazia
 
Hii kitu imenipa maswali kadhaa kichwani je club yetu bado ni ya wanachama au ishakua ya mtu binafsi? imewezekanaje msimu wa 23/24 umeisha na mwingine huu wa 24/25 ume anza bila kua na mkutano mkuu wala kusomewa budget ya mapato na matumizi?
Ina maana timu yetu inajiendea tu kama timu ya ndondo au ni nini hasa kinafichwa?mwaka jana walitusomea bajeti na mafanikio ya WhatsApp channel japo ya uongo na kweli lakini afadhari walitimiza wajibu , hii club ina shida sehemu ndio maana Mzee Rage alituita jina la ajabu na Kaduguda akakazia
Mlitaka wawaite kwenye kikao muwapige marungu?
 
Hii kitu imenipa maswali kadhaa kichwani je club yetu bado ni ya wanachama au ishakua ya mtu binafsi? imewezekanaje msimu wa 23/24 umeisha na mwingine huu wa 24/25 ume anza bila kua na mkutano mkuu wala kusomewa budget ya mapato na matumizi?
Ina maana timu yetu inajiendea tu kama timu ya ndondo au ni nini hasa kinafichwa?mwaka jana walitusomea bajeti na mafanikio ya WhatsApp channel japo ya uongo na kweli lakini afadhari walitimiza wajibu , hii club ina shida sehemu ndio maana Mzee Rage alituita jina la ajabu na Kaduguda akakazia
rodrick alexander , OKW BOBAN SUNZU , Kalpana , Scars eti ni kweli mapato na matumizi hayajasomwa hadi msimu umeanza? Au yalitangaza kimya kwa wanabodi pekee kisiri siri?
 
rodrick alexander , OKW BOBAN SUNZU , Kalpana , Scars eti ni kweli mapato na matumizi hayajasomwa hadi msimu umeanza? Au yalitangaza kimya kwa wanabodi pekee kisiri siri?
Mimi mwenyewe ni muhasibu kwenye jumuiya sijasoma mapato na matumizi maisha yanaendela...ila kikubwa hesabu zipo vzr wakitaka nawapa shida muda unabana..nadhani na Simba ni kama mimi..
😃😃😃😃😃😃
 
Hii kitu imenipa maswali kadhaa kichwani je club yetu bado ni ya wanachama au ishakua ya mtu binafsi? imewezekanaje msimu wa 23/24 umeisha na mwingine huu wa 24/25 ume anza bila kua na mkutano mkuu wala kusomewa budget ya mapato na matumizi?
Ina maana timu yetu inajiendea tu kama timu ya ndondo au ni nini hasa kinafichwa?mwaka jana walitusomea bajeti na mafanikio ya WhatsApp channel japo ya uongo na kweli lakini afadhari walitimiza wajibu , hii club ina shida sehemu ndio maana Mzee Rage alituita jina la ajabu na Kaduguda akakazia
Chukua ile ya mwaka jana uisome maisha yaendelee
 
Lakin si Kanji alishasema kwenye kikao cha "insta live" kuwa kapata hasara???
 
Hii kitu imenipa maswali kadhaa kichwani je club yetu bado ni ya wanachama au ishakua ya mtu binafsi? imewezekanaje msimu wa 23/24 umeisha na mwingine huu wa 24/25 ume anza bila kua na mkutano mkuu wala kusomewa budget ya mapato na matumizi?
Ina maana timu yetu inajiendea tu kama timu ya ndondo au ni nini hasa kinafichwa?mwaka jana walitusomea bajeti na mafanikio ya WhatsApp channel japo ya uongo na kweli lakini afadhari walitimiza wajibu , hii club ina shida sehemu ndio maana Mzee Rage alituita jina la ajabu na Kaduguda akakazia
Huu ni udhaifu mkubwa wa Menejimenti ya Simba. Kama haiwezekani kuitisha mkutano wangeweka taarifa husika hata katika Simba APP yao.
 
Back
Top Bottom