Simba imeyaheshimisha mashindano ya Kombe la Mapinduzi

Simba imeyaheshimisha mashindano ya Kombe la Mapinduzi

Simba imekua KITUKO cha mwaka baada ya kuandaa Jezi ya ubingwa wakati wanajua timu yao bila kubebwa na marefa haiwezi kushinda matokeo yake wanatafuta pa kujificha...
Ni Aibu Kwa Kweli [emoji16]
 
Wakati kuna katimu kanajifanya kana "besi" la kusema mashindano ya kombe la mapinduzi hayana maana na kwamba yana gundu, Simba haikusikia kelele za vyura hao na badala yake imeyapa mashindano ya Kombe la Mapinduzi heshima inayostahili. Ukiacha kombe itakalobeba leo na zawadi za pesa, nadhani klabu ya Simba inastahili tuzo maalumu kutoka SMZ.

Ushauri wangu kwa SMZ na Kamati ya mashindano, kabla ya mashindano yajayo wakae chini na uongozi wa Simba ili waone ni jinsi gani wanaweza kuyafanya mashindano haya yakawa bora zaidi. Simba ina ushawishi wa kuvutia timu kubwa zije kushiriki na kuachana na hawa viroboto wanaodhani bila wao mambo hayawezi kwenda.

Ukipata jumla ya timu 8, tatu za Z'bar na zinazobaki kutoka kanda tofauti za Africa, wacheze makundi mawili, ondoa robo fainali itapunguza uchovu wa mechi kuwa nyingi ndani ya muda mfupi. Hadi fainali, timu zitakuwa zimecheza mechi 5 tu. Mashindano haya yanaweza kusaidia timu kuboresha vikosi vyao kipindi cha likizo fupi ila bila kukamiana.

Wale wanaoona mashindano haya hayana maana wawekwe pembeni kwanza hadi watakapojitambua.
Ramli ni mbaya

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Tafuta Moja ya sababu iliyofanya mashindano ya muungano yavunjike, ukipata sababu uje uandike porojozako.
Nakudokezea: Yanga walipogomea na ndipo yalivunjika.
Kwasasa Simba zaidi ya mapinduzi cup Hana kikombe anacho gombea, ni vizuri apambane kwa nguvu zote ikiwa pamoja na makosa ya kibinadamu ili atwae kikombe icho, akikosa ameumia.
Msijitoe ufahamu, tuliwafunga kwenye kombe la jamii ,msijitoe ufahamu kuwa majuzi tu baada ya kuweka wachezaji wengi wa nje ndio mnatoka kimchezo, simba sisi tokea enzi na enzi tunarekodi nzuri sana . Nyie vimiaka kadhaa haileti tija ,mpewe heka heka tokea 1977 hadi na leo eti vimiaka 6 tu unaona mnalamaana.

Mtukome sisi sio ligi yenu katafute wachovu wenzio mtishiane you wiĺl never be Simba even what.
 
Simba imekua KITUKO cha mwaka baada ya kuandaa Jezi ya ubingwa wakati wanajua timu yao bila kubebwa na marefa haiwezi kushinda matokeo yake wanatafuta pa kujificha...
Ni Aibu Kwa Kweli [emoji16]
Uongo huo mweupe eti kubebwa tangia lini wana mbeleko
 
Wakati kuna katimu kanajifanya kana "besi" la kusema mashindano ya kombe la mapinduzi hayana maana na kwamba yana gundu, Simba haikusikia kelele za vyura hao na badala yake imeyapa mashindano ya Kombe la Mapinduzi heshima inayostahili. Ukiacha kombe itakalobeba leo na zawadi za pesa, nadhani klabu ya Simba inastahili tuzo maalumu kutoka SMZ.

Ushauri wangu kwa SMZ na Kamati ya mashindano, kabla ya mashindano yajayo wakae chini na uongozi wa Simba ili waone ni jinsi gani wanaweza kuyafanya mashindano haya yakawa bora zaidi. Simba ina ushawishi wa kuvutia timu kubwa zije kushiriki na kuachana na hawa viroboto wanaodhani bila wao mambo hayawezi kwenda.

Ukipata jumla ya timu 8, tatu za Z'bar na zinazobaki kutoka kanda tofauti za Africa, wacheze makundi mawili, ondoa robo fainali itapunguza uchovu wa mechi kuwa nyingi ndani ya muda mfupi. Hadi fainali, timu zitakuwa zimecheza mechi 5 tu. Mashindano haya yanaweza kusaidia timu kuboresha vikosi vyao kipindi cha likizo fupi ila bila kukamiana.

Wale wanaoona mashindano haya hayana maana wawekwe pembeni kwanza hadi watakapojitambua.
Mlipokea bahasha yenye kiasi gani cha fedha ili kuuza hiyo mechi? Maana haiwezekani timu kama simba kufungwa na timu inayotoka kwenye ligi dhaifu ya Zanzibar.
 
Back
Top Bottom