kavulata
JF-Expert Member
- Aug 2, 2012
- 13,778
- 14,214
Simba msimu huu ina kikosi kizuri (sio kipana) kuliko ilivyowahi kutokea misimu mingi sana iliyopita. Lakini Simba ya msimu huu ni mbovu sana kuliko Simba ya misimu mingi iliyopita. Hii inakatisha tamaa wale waliowekeza pesa zao Simba na wanachama na mashabiki wa Simba wanaoisifia Sana timu Yao kutokana na uwekezaji na aina ya wachezaji waliosajiliwa.
Simba ya mbelgiji imefungwa kwa aibu na timu ambazo ni under dog sawa na pombe ya ngomani kila mtu anajichotea tyuu na kunywa. Miaka ilipota kabla Simba kufungwa 5-0.
Masoud Djuma ukimpatia kikosi kizuri kama hiki cha Simba angefanya makubwa haki ya nani. Simba itajilaumu kuchelewa kumtimua Aussens.
Simba ya mbelgiji imefungwa kwa aibu na timu ambazo ni under dog sawa na pombe ya ngomani kila mtu anajichotea tyuu na kunywa. Miaka ilipota kabla Simba kufungwa 5-0.
Masoud Djuma ukimpatia kikosi kizuri kama hiki cha Simba angefanya makubwa haki ya nani. Simba itajilaumu kuchelewa kumtimua Aussens.