kavulata
JF-Expert Member
- Aug 2, 2012
- 13,778
- 14,214
- Thread starter
- #21
Anawasifia Sana kiasi kwamba kama wakishindwa inaonekana ni aibu ya mwaka. Haji pia anawaaminisha wachezaji kuwa Yanga ni adui Yao mkubwa namba moja duniani kuliko Mbao, ndanda, As Vita, Mashujaa, Bandari, nk. Hii inawasababisha wachezaji waiwaze Yanga zaidi katika kila mechi.Mkuu, huu utafiti umeufanyia wapi na kwa namna ipi? Yaani makelele ya Manara yawatie hofu wachezaji wa timu yake? Wakati mwingine ni bora kukaa kimya
Haji inaifananisha Simba na man city, man u, Barcelona, real Madrid psg bila kujuwa kuwa wachezaji watalitia tembo maji.