Simba imuombe radhi Manara Ili iendelee kubeba makombe

Simba imuombe radhi Manara Ili iendelee kubeba makombe

Manara Amefukuzwa Simba itakatwaa Kombe la Azam Federation pale Kigoma, Bao la Tadeo Lwanga Uto akipigwa.
Simba ameendelea kufika Robo Fainali ya CAF Champions ambayo hiyo Utopolo haijawahi kufika tokea kuumbwa kwake.
Mwaka 2023 Simba katwaa Ngao ya Hisani, mwaka 2024 Simba ni Finalist wa Mapinduzi Cup, bado atafika Robo Fainali ya CAF unataka simba afanye kipi.
HAtua ya kimashindano aliyofikia Simba, itamchukua Yanga Miaka 10 au zaidi kuifikia.
Simba yuko nominated kucheza Mtoano7 wa Kombe la Dunia la Vilabu! Ni lini uto atafika huko???
Ngao ya jamii sio kombe mkuu....at least mngebeba mapinduzi cup
 
Manara Amefukuzwa Simba itakatwaa Kombe la Azam Federation pale Kigoma, Bao la Tadeo Lwanga Uto akipigwa.
Simba ameendelea kufika Robo Fainali ya CAF Champions ambayo hiyo Utopolo haijawahi kufika tokea kuumbwa kwake.
Mwaka 2023 Simba katwaa Ngao ya Hisani, mwaka 2024 Simba ni Finalist wa Mapinduzi Cup, bado atafika Robo Fainali ya CAF unataka simba afanye kipi.
HAtua ya kimashindano aliyofikia Simba, itamchukua Yanga Miaka 10 au zaidi kuifikia.
Simba yuko nominated kucheza Mtoano7 wa Kombe la Dunia la Vilabu! Ni lini uto atafika huko???
Wanasubiri kiongozi wao aende akaombe kwa rais was FIFA Kama alivyoenda kuomba kwa rais wa CAF timu yao ishiriki afl
 
Yeye ndio Mungu anaejua hatima ya Simba sc.

Acha kumpa sifa za umungu

Acha kufanya mwanaume mwenzako kuwa mungu mtu

Huyo mungu angekuwa anajua hatima ya Simba tayari angekuwa ameisaidia kubeba kombe la Africa!
 
Yanga alipokaa miaka 4 bila kubeba Kombe alikua amemkosea nani vile?
Yanga walikuwa wanapitia economic depression [emoji23][emoji23]....enzi wanatembeza bakuri
 
U're mistaken mr
Hivi huwaga hujitazami katika kioo?

Hebu jitazame yaani pua yako na ya Zaylissa ni zimefanana mno.

So unapompigia promo Haji ina maana kubwa sana ndugu, vinginevyo usingehangaika kupost ujinga wa jinga kubwa Haji.

Huyo ni shemejio, na aliyekutuma hapa uwasilishe ujinga wa Haji ni huyo huyo unayefanana naye pua 😁😁
 
Back
Top Bottom