Ngao ya jamii sio kombe mkuu....at least mngebeba mapinduzi cupManara Amefukuzwa Simba itakatwaa Kombe la Azam Federation pale Kigoma, Bao la Tadeo Lwanga Uto akipigwa.
Simba ameendelea kufika Robo Fainali ya CAF Champions ambayo hiyo Utopolo haijawahi kufika tokea kuumbwa kwake.
Mwaka 2023 Simba katwaa Ngao ya Hisani, mwaka 2024 Simba ni Finalist wa Mapinduzi Cup, bado atafika Robo Fainali ya CAF unataka simba afanye kipi.
HAtua ya kimashindano aliyofikia Simba, itamchukua Yanga Miaka 10 au zaidi kuifikia.
Simba yuko nominated kucheza Mtoano7 wa Kombe la Dunia la Vilabu! Ni lini uto atafika huko???
Kulikoni leo wamkana shemejio bwashee, kwani hakulipa mahari?Sina undugu naye mkuu
Yanga alipokaa miaka 4 bila kubeba Kombe alikua amemkosea nani vile?Ngao ya jamii sio kombe mkuu....at least mngebeba mapinduzi cup
Wanasubiri kiongozi wao aende akaombe kwa rais was FIFA Kama alivyoenda kuomba kwa rais wa CAF timu yao ishiriki aflManara Amefukuzwa Simba itakatwaa Kombe la Azam Federation pale Kigoma, Bao la Tadeo Lwanga Uto akipigwa.
Simba ameendelea kufika Robo Fainali ya CAF Champions ambayo hiyo Utopolo haijawahi kufika tokea kuumbwa kwake.
Mwaka 2023 Simba katwaa Ngao ya Hisani, mwaka 2024 Simba ni Finalist wa Mapinduzi Cup, bado atafika Robo Fainali ya CAF unataka simba afanye kipi.
HAtua ya kimashindano aliyofikia Simba, itamchukua Yanga Miaka 10 au zaidi kuifikia.
Simba yuko nominated kucheza Mtoano7 wa Kombe la Dunia la Vilabu! Ni lini uto atafika huko???
Yeye ndio Mungu anaejua hatima ya Simba sc.
Acha kumpa sifa za umungu
Acha kufanya mwanaume mwenzako kuwa mungu mtu
Hivi huwaga hujitazami katika kioo?U're mistaken mr