Hussein Massanza
JF-Expert Member
- Dec 26, 2012
- 1,016
- 2,195
Naanza kupata mashaka. Inawezekana Simba nayo inadhaminiwa na makampuni ya GSM kimya kimya. Kwanini kila wakicheza na Yanga wanafungwa? Hii ni mara ya nne mfululizo hawapati matokeo.
Nasema hivi kwa sababu imejengeka dhana kwamba timu zote zinazofanya biashara na GSM zinagawa points kwa Yanga ambayo ndio partner mkuu wa GSM. Achilia mbali Azam ambao wanadhamini timu zote 16 za Ligi Kuu.
Simba tuambizane ukweli, kama hoja ni points au kufungwa na Yanga kisa udhamini wa GSM, mbona na nyie mnafungwa kizembe sana!?
Msimu huu tutapimiana kipimo kile kile!
Nasema hivi kwa sababu imejengeka dhana kwamba timu zote zinazofanya biashara na GSM zinagawa points kwa Yanga ambayo ndio partner mkuu wa GSM. Achilia mbali Azam ambao wanadhamini timu zote 16 za Ligi Kuu.
Simba tuambizane ukweli, kama hoja ni points au kufungwa na Yanga kisa udhamini wa GSM, mbona na nyie mnafungwa kizembe sana!?
Msimu huu tutapimiana kipimo kile kile!