Hussein Massanza
JF-Expert Member
- Dec 26, 2012
- 1,016
- 2,195
- Thread starter
- #21
Wazee wa Simba wamesema mmoja wa watendaji wa TFF mkewe anafanya kazi GSM, mambo ya ajabu kwelikweli.
Kama ingekuwa ushindi wa Yanga unapatikana kwa njia tofauti na kikosi imara GSM angetumia pesa nyingi kufanya sajili kubwa? Mmesahau Yanga walitoa kiasi gani kumsajili Aziz Ki achilia mbali mshahara mkubwa anaolipwa?
Mpira wa sasa umehamia kwenye uwekezaji, Simba wanapaswa kuondoka kwenye fikra za kizamani.
Una akili sana dada kama umeolewa na una watoto basi jamaa amepata mke haswa na watoto mama wanae