Simba inadhaminiwa na GSM kimya kimya?


Una akili sana dada kama umeolewa na una watoto basi jamaa amepata mke haswa na watoto mama wanae
 
Azam anadhamini namungo wala hawaongei. Azam anaidhamini APR ya Rwanda na bado Azam haohao wametolewa CAFCC na APR wanaowadhamini
Mnajisumbua kuwajibu,hao ni mambumbumbu wanachotaka timu zingine zisizaminiwe Ili zikose pesa za kuimarisha vikosi vyao,wawe wanajipigia tu kila wapokutana nao.
 

Wewe ni Masanza yule Msemaji Wa Singida..?


Kama ndo Wewe..basi Mambo Mengine utuachie Sisi Mashabiki..!

Sisi tuna Ulimwengu Wetu wa soka..!

Wewe Concentrate na Weledi ' Professionalism' !

Huu ni ushauri Sio Mkwala Usije Ukapotea ndugu..! Jitahidi hiyo timu yako angalau iwe kwenye Ramani ya soka Kwanza.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…