Hivi huyu Rage ana matatizo gani na mashabiki wa simba!! Kila siku yeye ni kuwatukana tu.Mafanikio ya 5imba, ni kushinwa kwa Yanga..!! Na ndiyo maana wanafurahi sana lile goli la Yanga kukataliwa.
View attachment 2958449
Hata yeye anafurahia kimoyo moyo 😂😂😂Mafanikio ya 5imba, ni kushinwa kwa Yanga..!! Na ndiyo maana wanafurahi sana lile goli la Yanga kukataliwa.
View attachment 2958449
Mkuu haya ni matokeo ya makosa ya Aziz Baka na Job kukosa penatiRage alishawahi kuwabatiza jina ambalo sio busara kulitaja hapa
1. Team ilipigwa 5 November 2023
Ila wana simba masikini washashahau
2.kwenye mkutano waliletewa manzoki na kupewa ubwabwa na chupa 1 ya pepsi big.
Wakampa kura za ndio Mangungu
3. Mo anadai team ameinunua na ni team yake binafsi.
Masikini watani hawana habari wapo wanapata faraja fake ya goli la azizi ki kukataliwa
4. Walichangishwa hela wajenge uwanja
Wakaambiwa pesa imejenga ukuta na chumba cha mlinzi,
Masikini watani wakajisahau hata hawakumbuki
5. Alikuja goal keeper Mbrazil kwa usajili wa B 1.3.
Aliishia kuumia mazoezini hakucheza hata mechi moja
Mbumbumbu wamesahau na hili
6. Mafanikio ya last season ni kibegi, na kufungua group la WhatsApp, ndo walivoambia kwenye mkutano mkuu.
Maskini mbumbumbu waliishia kushangikia kwa furaha
7.usajili uliovunja record ni ule wa Jobe na Fredi, wanacheza kama wajawazito, masikini wanasimba wenyewe hawajali
8.Jezi hazina quality kama sare za magereza. Unakuta watani hata hawatambu hilo
9. Walifanya pre season Qatar na wachezaji 7 tu.
Huku wengine wakiwa na mgomo na hakuna mbumbumbu yeyote alitambua hilo
10. Robo final ndo team pekee imepigwa nje ndani lakini maskini watani hawajali wapo busy kujifariji na bao la Azizi ki lililodhulumiwa
Chonde chonde tuwaache usingizi ili tuchukue ubingwa back to back kwa miaka 10
Nitamheshimu sana Rage kwa kuwaita watani wetu hawa jina mbumbumbu. Hakika aliona mbali ni nabii
Ww tuite tuu hilo jina...mbona ss tunalienzi jina lenu la Mazuzu FC au wenye akili ni 2?Rage alishawahi kuwabatiza jina ambalo sio busara kulitaja hapa
1. Team ilipigwa 5 November 2023
Ila wana simba masikini washashahau
2.kwenye mkutano waliletewa manzoki na kupewa ubwabwa na chupa 1 ya pepsi big.
Wakampa kura za ndio Mangungu
3. Mo anadai team ameinunua na ni team yake binafsi.
Masikini watani hawana habari wapo wanapata faraja fake ya goli la azizi ki kukataliwa
4. Walichangishwa hela wajenge uwanja
Wakaambiwa pesa imejenga ukuta na chumba cha mlinzi,
Masikini watani wakajisahau hata hawakumbuki
5. Alikuja goal keeper Mbrazil kwa usajili wa B 1.3.
Aliishia kuumia mazoezini hakucheza hata mechi moja
Mbumbumbu wamesahau na hili
6. Mafanikio ya last season ni kibegi, na kufungua group la WhatsApp, ndo walivoambia kwenye mkutano mkuu.
Maskini mbumbumbu waliishia kushangikia kwa furaha
7.usajili uliovunja record ni ule wa Jobe na Fredi, wanacheza kama wajawazito, masikini wanasimba wenyewe hawajali
8.Jezi hazina quality kama sare za magereza. Unakuta watani hata hawatambu hilo
9. Walifanya pre season Qatar na wachezaji 7 tu.
Huku wengine wakiwa na mgomo na hakuna mbumbumbu yeyote alitambua hilo
10. Robo final ndo team pekee imepigwa nje ndani lakini maskini watani hawajali wapo busy kujifariji na bao la Azizi ki lililodhulumiwa
Chonde chonde tuwaache usingizi ili tuchukue ubingwa back to back kwa miaka 10
Nitamheshimu sana Rage kwa kuwaita watani wetu hawa jina mbumbumbu. Hakika aliona mbali ni nabii
Tarehe 20 siyo mbaliWw tuite tuu hilo jina...mbona ss tunalienzi jina lenu la Mazuzu FC au wenye akili ni 2?
Halafu ww unaumia nini? Inashangaza sana yani kwa uliyoyaorodhesha hapo unaona kipi kipya ambacho labda ni tofauti na timu zingine either zimeshapitia au zinapitia....unataka tuache shughuli zetu tuandamane? Ili iweje ss... tunaipenda timu yetu vile itakavyokua....
Hivi ushashika quality ya jezi ya Yanga na ya Simba in terms of texture? Acha porojo ww...
simba inaelekea kigoma kucheza na mashujaaRage alishawahi kuwabatiza jina ambalo sio busara kulitaja hapa
1. Team ilipigwa 5 November 2023
Ila wana simba masikini washashahau
2.kwenye mkutano waliletewa manzoki na kupewa ubwabwa na chupa 1 ya pepsi big.
Wakampa kura za ndio Mangungu
3. Mo anadai team ameinunua na ni team yake binafsi.
Masikini watani hawana habari wapo wanapata faraja fake ya goli la azizi ki kukataliwa
4. Walichangishwa hela wajenge uwanja
Wakaambiwa pesa imejenga ukuta na chumba cha mlinzi,
Masikini watani wakajisahau hata hawakumbuki
5. Alikuja goal keeper Mbrazil kwa usajili wa B 1.3.
Aliishia kuumia mazoezini hakucheza hata mechi moja
Mbumbumbu wamesahau na hili
6. Mafanikio ya last season ni kibegi, na kufungua group la WhatsApp, ndo walivoambia kwenye mkutano mkuu.
Maskini mbumbumbu waliishia kushangikia kwa furaha
7.usajili uliovunja record ni ule wa Jobe na Fredi, wanacheza kama wajawazito, masikini wanasimba wenyewe hawajali
8.Jezi hazina quality kama sare za magereza. Unakuta watani hata hawatambu hilo
9. Walifanya pre season Qatar na wachezaji 7 tu.
Huku wengine wakiwa na mgomo na hakuna mbumbumbu yeyote alitambua hilo
10. Robo final ndo team pekee imepigwa nje ndani lakini maskini watani hawajali wapo busy kujifariji na bao la Azizi ki lililodhulumiwa
Chonde chonde tuwaache usingizi ili tuchukue ubingwa back to back kwa miaka 10
Nitamheshimu sana Rage kwa kuwaita watani wetu hawa jina mbumbumbu. Hakika aliona mbali ni nabii
Simba inatoka mashariki inaelekea kusini,kaskazini au magharibi!!!!Rage alishawahi kuwabatiza jina ambalo sio busara kulitaja hapa
1. Team ilipigwa 5 November 2023
Ila wana simba masikini washashahau
2.kwenye mkutano waliletewa manzoki na kupewa ubwabwa na chupa 1 ya pepsi big.
Wakampa kura za ndio Mangungu
3. Mo anadai team ameinunua na ni team yake binafsi.
Masikini watani hawana habari wapo wanapata faraja fake ya goli la azizi ki kukataliwa
4. Walichangishwa hela wajenge uwanja
Wakaambiwa pesa imejenga ukuta na chumba cha mlinzi,
Masikini watani wakajisahau hata hawakumbuki
5. Alikuja goal keeper Mbrazil kwa usajili wa B 1.3.
Aliishia kuumia mazoezini hakucheza hata mechi moja
Mbumbumbu wamesahau na hili
6. Mafanikio ya last season ni kibegi, na kufungua group la WhatsApp, ndo walivoambia kwenye mkutano mkuu.
Maskini mbumbumbu waliishia kushangikia kwa furaha
7.usajili uliovunja record ni ule wa Jobe na Fredi, wanacheza kama wajawazito, masikini wanasimba wenyewe hawajali
8.Jezi hazina quality kama sare za magereza. Unakuta watani hata hawatambu hilo
9. Walifanya pre season Qatar na wachezaji 7 tu.
Huku wengine wakiwa na mgomo na hakuna mbumbumbu yeyote alitambua hilo
10. Robo final ndo team pekee imepigwa nje ndani lakini maskini watani hawajali wapo busy kujifariji na bao la Azizi ki lililodhulumiwa
Chonde chonde tuwaache usingizi ili tuchukue ubingwa back to back kwa miaka 10
Nitamheshimu sana Rage kwa kuwaita watani wetu hawa jina mbumbumbu. Hakika aliona mbali ni nabii
Mtaweza kumfukuza tajiri??Sasa hivi tunataka kanjibai asepe, atuachie simba yetu
Kuvunja mikataba ya wachezaji wote itakua sh ngapi?Ukimtoa mo unashangaa,, kaja mpuuzi fred vunjabei anataka aweke hela yake na. Baba yake yote amiliki timu, aiingie mara na hamisa mobetto mara sijui demu wa ricardo momo. Mimi naona simba wafukuzwe tu wachezaji wote. Timu iundwe upya.
Ndio maana wengine bongo tulizaliwa tu, ila hatuna mipango napo maana hamna mipango.