Simba inaenda kujiendesha kwa hasara sasa, Si jambo zuri hili

Simba inaenda kujiendesha kwa hasara sasa, Si jambo zuri hili

LICHADI

JF-Expert Member
Joined
Feb 4, 2015
Posts
4,491
Reaction score
12,560
Kuanzia benchi la ufundi,wachezaji, mishahara posho na fedha za kuendesha timu kwa mwezi, sidhani kama inapungua nusu bilioni pale.

Now timu imetolewa kwenye kombe lenye hela nyingi CAF tena raundi ya kwanza tu, now tunarudi kwenye ligi ambayo haina fedha za viingilio wala fedha za motisha kama CAF, CAF msimu uliopita tulicheza mechi za nyumbani 5, timu ilipata fedha nyingi kwenye viingilio

Na kila hatua simba iliyoingia ilimwagiwa mabilioni na CAF, sasa mapema tu tumeaga naiona hasara hapa anayoenda kuingia Dewji ni kubwa, fedha alizowekeza msimu huu kuzirudisha ni ngumu

Pia nitoe ushauri kwa timu tujitahidi kupata matokeo ugenini na tuache kutegemea mechi za nyumbani, na tuache kudharau timu sisizo na majina makubwa maana hata leo simba ni kama akili zao hazikuwepo uwanjani kabisa, ni kama hii timu hatukuitilia maanani, labda wachezaji walijua ni timu raisi.
 
Mabilioni gani? USD 600k ndo zingelipa mishahara ya nusu bilioni kila mwezi simba? Bora wametoka
 
wewe ni mpumbavu unaleta uyanga hapa wakati bandiko linajieleza kabisa na linaeleweka, unazani simba inapata wapi fedha sasa pumbavu kabisa
Mabilioni gani? USD 600k ndo zingelipa mishahara ya nusu bilioni kila mwezi simba? Bora wametoka
 
Kuanzia benchi la ufundi,wachezaji, mishahara posho na fedha za kuendesha timu kwa mwezi, sidhani kama inapungua nusu bilioni pale.

Now timu imetolewa kwenye kombe lenye hela nyingi CAF tena raundi ya kwanza tu, now tunarudi kwenye ligi ambayo haina fedha za viingilio wala fedha za motisha kama CAF, CAF msimu uliopita tulicheza mechi za nyumbani 5, timu ilipata fedha nyingi kwenye viingilio

Na kila hatua simba iliyoingia ilimwagiwa mabilioni na CAF, sasa mapema tu tumeaga naiona hasara hapa anayoenda kuingia Dewji ni kubwa, fedha alizowekeza msimu huu kuzirudisha ni ngumu

Pia nitoe ushauri kwa timu tujitahidi kupata matokeo ugenini na tuache kutegemea mechi za nyumbani, na tuache kudharau timu sisizo na majina makubwa maana hata leo simba ni kama akili zao hazikuwepo uwanjani kabisa, ni kama hii timu hatukuitilia maanani, labda wachezaji walijua ni timu raisi.
Mhindi ataitelekeza hii timu na kuwaachia wenye simba yao
 
Kuanzia benchi la ufundi,wachezaji, mishahara posho na fedha za kuendesha timu kwa mwezi, sidhani kama inapungua nusu bilioni pale.

Now timu imetolewa kwenye kombe lenye hela nyingi CAF tena raundi ya kwanza tu, now tunarudi kwenye ligi ambayo haina fedha za viingilio wala fedha za motisha kama CAF, CAF msimu uliopita tulicheza mechi za nyumbani 5, timu ilipata fedha nyingi kwenye viingilio

Na kila hatua simba iliyoingia ilimwagiwa mabilioni na CAF, sasa mapema tu tumeaga naiona hasara hapa anayoenda kuingia Dewji ni kubwa, fedha alizowekeza msimu huu kuzirudisha ni ngumu

Pia nitoe ushauri kwa timu tujitahidi kupata matokeo ugenini na tuache kutegemea mechi za nyumbani, na tuache kudharau timu sisizo na majina makubwa maana hata leo simba ni kama akili zao hazikuwepo uwanjani kabisa, ni kama hii timu hatukuitilia maanani, labda wachezaji walijua ni timu raisi.
Hivi ni kweli wametolewa au?
 
Kuanzia benchi la ufundi,wachezaji, mishahara posho na fedha za kuendesha timu kwa mwezi, sidhani kama inapungua nusu bilioni pale.

Now timu imetolewa kwenye kombe lenye hela nyingi CAF tena raundi ya kwanza tu, now tunarudi kwenye ligi ambayo haina fedha za viingilio wala fedha za motisha kama CAF, CAF msimu uliopita tulicheza mechi za nyumbani 5, timu ilipata fedha nyingi kwenye viingilio

Na kila hatua simba iliyoingia ilimwagiwa mabilioni na CAF, sasa mapema tu tumeaga naiona hasara hapa anayoenda kuingia Dewji ni kubwa, fedha alizowekeza msimu huu kuzirudisha ni ngumu

Pia nitoe ushauri kwa timu tujitahidi kupata matokeo ugenini na tuache kutegemea mechi za nyumbani, na tuache kudharau timu sisizo na majina makubwa maana hata leo simba ni kama akili zao hazikuwepo uwanjani kabisa, ni kama hii timu hatukuitilia maanani, labda wachezaji walijua ni timu raisi.
Tatizo la Simba n kukosa nidhamu

1.Nidhamu ya kuheshimu maelekezo ya benchi la ufundi una uongozi unasajili tu wabarazil bila kuzingatia mahitaji ya kocha
2.Nidhamu ya benchi la ufundi kutatua tatizo la beki ambalo limejirudia tena mwaka huu
3.Psychological team building kwa mchezaji Mmoja Mmoja
 
Tatizo la Simba n kukosa nidhamu

1.Nidhamu ya kuheshimu maelekezo ya benchi la ufundi una uongozi unasajili tu wabarazil bila kuzingatia mahitaji ya kocha
2.Nidhamu ya benchi la ufundi kutatua tatizo la beki ambalo limejirudia tena mwaka huu
3.Psychological team building kwa mchezaji Mmoja Mmoja
Kocha hakutataja majina bali alitaja aina ya wachezaji anaowataka...alitaka mshambuliaji, kaletewa mbrazili yeye kaona hafai ila ni mshambuliaji.....viungo wakabaji kaletewa, mabeki kaletewa...pwenti yako ya kwanza ni haina mashiko...
 
Back
Top Bottom