Upande wa pili Zahera aliweka mahitaji yake kwa kumchunguza mchezaji anayemhitaji na hii ndio tofauti kubwa Sana itakayoonekana uwanjani na kwenye benchi la ufundiKocha hakutataja majina bali alitaja aina ya wachezaji anaowataka...alitaka mshambuliaji, kaletewa mbrazili yeye kaona hafai ila ni mshambuliaji.....viungo wakabaji kaletewa, mabeki kaletewa...pwenti yako ya kwanza ni haina mashiko...
Najua hutaamini lakini naona Sasa Simba atakuwa nawakati mgumu pia kwenye zote atakazokutana na Yanga nakwasasa huu n Mwanzo wa mfarakano