Simba inaenda kujiendesha kwa hasara sasa, Si jambo zuri hili

Kocha hakutataja majina bali alitaja aina ya wachezaji anaowataka...alitaka mshambuliaji, kaletewa mbrazili yeye kaona hafai ila ni mshambuliaji.....viungo wakabaji kaletewa, mabeki kaletewa...pwenti yako ya kwanza ni haina mashiko...
Upande wa pili Zahera aliweka mahitaji yake kwa kumchunguza mchezaji anayemhitaji na hii ndio tofauti kubwa Sana itakayoonekana uwanjani na kwenye benchi la ufundi

Najua hutaamini lakini naona Sasa Simba atakuwa nawakati mgumu pia kwenye zote atakazokutana na Yanga nakwasasa huu n Mwanzo wa mfarakano
 
Hakuna mbrazil mbovu hata mmoja pale, timu imesajili kila idara, tatizo lako wewe huna kocha.
 
Kama tutamfukuza kocha na kumuajiri hata Matola kwa kikosi hiki huyo Yanga hatoki na ubingwa tunachukua. Shida yetu sisi sio benchi lote la ufundi, ni Aussems peke yake.
 
Kama tutamfukuza kocha na kumuajiri hata Matola kwa kikosi hiki huyo Yanga hatoki na ubingwa tunachukua. Shida yetu sisi sio benchi lote la ufundi, ni Aussems peke yake.
Duh,nahisi wewe ndio Manara mwenyewe
 
Kwani kuna timu inayojiendesha kwa faida?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…