Simba inaenda kutolewa kombe la waliofeli Jumapili

Simba inaenda kutolewa kombe la waliofeli Jumapili

Shooter Again

JF-Expert Member
Joined
Sep 6, 2022
Posts
5,603
Reaction score
9,263
Kwa nilivyoiona hii klabu ya simba Mimi kama mchambuzi wa maswala ya soka Sina ushabiki wowote wa timu za Tanzania ni kwamba hii timu hamna kitu ilichokifanya kule Libya na jumapili inaenda kudharirsha taifa naomba nieleweke simba hamna kitu mule timu ni mbovu sijawahi kuona na huyo kocha sijui ubongo Hana maana kazungukwa na magarasa na yeye mwenyewe hamna kitu kichwani aisee simba itachakazwa vibaya sana na waarabu wakiongozwa na mabululu
 
Kwa nilivyoiona hii klabu ya simba Mimi kama mchambuzi wa maswala ya soka Sina ushabiki wowote wa timu za Tanzania ni kwamba hii timu hamna kitu ilichokifanya kule Libya na jumapili inaenda kudharirsha taifa naomba nieleweke simba hamna kitu mule timu ni mbovu sijawahi kuona na huyo kocha sijui ubongo Hana maana kazungukwa na magarasa na yeye mwenyewe hamna kitu kichwani aisee simba itachakazwa vibaya sana na waarabu wakiongozwa na mabululu

Wewe Sio Mchambuzi....

Wewe ni Utopolo...............

Isemee Yanga Yako.......

Mnyama achana naye..

Ubaya Ubwela.....................!
 
Yaani mji utapoaaa wapiga mgenga wakitulizwa kama Azam.....
 
Yaani mji utapoaaa wapiga mgenga wakitulizwa kama Azam.....
Simba ikitolewa litakuwa pigo moja takatifu na mwanzo wa pilika pilika za bahasha za mnyama ligi kuu maana ndo kombe pekee litabaki wagombanie. Tujiandae kwa penati za mchongo na magoli ya offside!!
 
Mlipofika fainali ya hili kombe si mlitaka kwenda hadi mbinguni ili timu yenu itambuliwe rasmi kama timu iliyofanya ajabu la tisa la Dunia??

😄😃😀😁😬
 
Kwa nilivyoiona hii klabu ya simba Mimi kama mchambuzi wa maswala ya soka Sina ushabiki wowote wa timu za Tanzania ni kwamba hii timu hamna kitu ilichokifanya kule Libya na jumapili inaenda kudharirsha taifa naomba nieleweke simba hamna kitu mule timu ni mbovu sijawahi kuona na huyo kocha sijui ubongo Hana maana kazungukwa na magarasa na yeye mwenyewe hamna kitu kichwani aisee simba itachakazwa vibaya sana na waarabu wakiongozwa na mabululu
Mimi sio shabiki wa Simba lakini wewe sio mchambuzi bali ni mpuuzi fulani hivi. Yaani mtu ashindwe kukufunga nyumbani kwake tena uwanja ukiwa full house halafu ndio aje ashinde ugenini!!!?
Hivi hujiulizi ni kwanini Mashabiki wa Tripoli walikasirika na kuanzisha fujo, hujui kuwa walishaona kama wameshindwa kupata matokeo pale nyumbani kwao basi hawatakuwa na namna ya wao kushinda Tz.

Usimba na Uyanga unatufanya tuwe wapuuzi sana.

JUMAPILI BAADA YA GAME UJE TENA HAPA NA UCHAMBUZI WAKO RAMLI
 
Mimi sio shabiki wa Simba lakini wewe sio mchambuzi bali ni mpuuzi fulani hivi. Yaani mtu ashindwe kukufunga nyumbani kwake tena uwanja ukiwa full house halafu ndio aje ashinde ugenini!!!?
Hivi hujiulizi ni kwanini Mashabiki wa Tripoli walikasirika na kuanzisha fujo, hujui kuwa walishaona kama wameshindwa kupata matokeo pale nyumbani kwao basi hawatakuwa na namna ya wao kushinda Tz.

Usimba na Uyanga unatufanya tuwe wapuuzi sana.

JUMAPILI BAADA YA GAME UJE TENA HAPA NA UCHAMBUZI WAKO RAMLI
Mbumbumbu wewe jwneng galaxy na ud songo waliwafanyaje nyie mbumbumbu fc
 
Mimi sio shabiki wa Simba lakini wewe sio mchambuzi bali ni mpuuzi fulani hivi. Yaani mtu ashindwe kukufunga nyumbani kwake tena uwanja ukiwa full house halafu ndio aje ashinde ugenini!!!?
Hivi hujiulizi ni kwanini Mashabiki wa Tripoli walikasirika na kuanzisha fujo, hujui kuwa walishaona kama wameshindwa kupata matokeo pale nyumbani kwao basi hawatakuwa na namna ya wao kushinda Tz.

Usimba na Uyanga unatufanya tuwe wapuuzi sana.

JUMAPILI BAADA YA GAME UJE TENA HAPA NA UCHAMBUZI WAKO RAMLI
Simba walikandwa na waarabu 3-0 na Raja Casablanca apa kwa Mkapa, Simba alitolewa na UD songo apo kwa Mkapa
 
Simba walikandwa na waarabu 3-0 na Raja Casablanca apa kwa Mkapa, Simba alitolewa na UD songo apo kwa Mkapa
UD Songo na Raja Casablanca kipindi kile walikuwa bora sana kuliko timu yoyote ukanda huu wa Africa Mashariki. Sio timu hii ya Tripoli ambayo inafungwa hata na Mashujaa. Au kwa vile ni waarabu na walijaza uwanja ndio unaona ni litimu fulani linalotisha sana
 
Mbumbumbu wewe jwneng galaxy na ud songo waliwafanyaje nyie mbumbumbu fc
Wale sio hiyo ya Tripoli. Najua mnatamani sana Simba itolewe ndio maana mnakuja na chambuzi zenu pumba.

NA UWEZEKANO WA SIMBA KUCHUKUWA HILI KOMBE NI MKUBWA SANA
 
Mimi sio shabiki wa Simba lakini wewe sio mchambuzi bali ni mpuuzi fulani hivi. Yaani mtu ashindwe kukufunga nyumbani kwake tena uwanja ukiwa full house halafu ndio aje ashinde ugenini!!!?
Hivi hujiulizi ni kwanini Mashabiki wa Tripoli walikasirika na kuanzisha fujo, hujui kuwa walishaona kama wameshindwa kupata matokeo pale nyumbani kwao basi hawatakuwa na namna ya wao kushinda Tz.

Usimba na Uyanga unatufanya tuwe wapuuzi sana.

JUMAPILI BAADA YA GAME UJE TENA HAPA NA UCHAMBUZI WAKO RAMLI
🤣
 
Back
Top Bottom