Simba inaenda kutolewa kombe la waliofeli Jumapili

Simba inaenda kutolewa kombe la waliofeli Jumapili

Simba bado inajitafuta, bahati mbaya sana wako kwenye mashindano na hali bado kocha anatengeneza timu.

Wanampa mzigo mkubwa sana kocHa, sijui kama wanajifunza kuwa wanatakiwa kuleta kocha mapema na wachezaji mapema ili akae nao pre season aweze kutengeneza kitu. Lakini hii unamleta kocha siku kadhaa kabla ya ligi na mashindano makubwa sio nzuri.

Simba wasijiachie sana kwa kuwa tu wako nyumbani, wakafunguka zaidi watapigwa na kushangazwa. Waendelee kucheza kwa tahadhari.

Mwisho, uongozi wa Simba unazingua, mambo yasipoenda vizuri uwanjani wanamtoa kafara kocha wakati wao mambo wanayepeleka hovyo.

CEO Barbra alikuwa smart sana, simba ilikuwa inaendesha mambo yake kitaalamu. Tangu ameondoka usajili ni wa hovyo, kocha scouting hovyo, vurugumechi.
 
Simba bado inajitafuta, bahati mbaya sana wako kwenye mashindano na hali bado kocha anatengeneza timu.

Wanampa mzigo mkubwa sana kocHa, sijui kama wanajifunza kuwa wanatakiwa kuleta kocha mapema na wachezaji mapema ili akae nao pre season aweze kutengeneza kitu. Lakini hii unamleta kocha siku kadhaa kabla ya ligi na mashindano makubwa sio nzuri.

Simba wasijiachie sana kwa kuwa tu wako nyumbani, wakafunguka zaidi watapigwa na kushangazwa. Waendelee kucheza kwa tahadhari.

Mwisho, uongozi wa Simba unazingua, mambo yasipoenda vizuri uwanjani wanamtoa kafara kocha wakati wao mambo wanayepeleka hovyo.

CEO Barbra alikuwa smart sana, simba ilikuwa inaenda mambo yake kitaalamu. Tangu ameondoka usijali hovyo, kocha scouting hovyo, vurugumechi.
Mabingwa wanacheza Zanzibar zungumzieni hao achaneni na Simba.
 
Kwa nilivyoiona hii klabu ya simba Mimi kama mchambuzi wa maswala ya soka Sina ushabiki wowote wa timu za Tanzania ni kwamba hii timu hamna kitu ilichokifanya kule Libya na jumapili inaenda kudharirsha taifa naomba nieleweke simba hamna kitu mule timu ni mbovu sijawahi kuona na huyo kocha sijui ubongo Hana maana kazungukwa na magarasa na yeye mwenyewe hamna kitu kichwani aisee simba itachakazwa vibaya sana na waarabu wakiongozwa na mabululu
Wacha watolewe tu Losers Cup.
 
Kwa nilivyoiona hii klabu ya simba Mimi kama mchambuzi wa maswala ya soka Sina ushabiki wowote wa timu za Tanzania ni kwamba hii timu hamna kitu ilichokifanya kule Libya na jumapili inaenda kudharirsha taifa naomba nieleweke simba hamna kitu mule timu ni mbovu sijawahi kuona na huyo kocha sijui ubongo Hana maana kazungukwa na magarasa na yeye mwenyewe hamna kitu kichwani aisee simba itachakazwa vibaya sana na waarabu wakiongozwa na mabululu
Screenshot_20240919-090722_Chrome.jpg
 
Kuna Chura mwenzako aliahidi kutoa tiGO kama Simba ingeshinda au kutoa droo tu kule Tripoli. Ila cha ajabu haonekani tena hapa JF.

Uto muwe mnajitahidi kutimiza ahadi zenu.
 
Kwa nilivyoiona hii klabu ya simba Mimi kama mchambuzi wa maswala ya soka Sina ushabiki wowote wa timu za Tanzania ni kwamba hii timu hamna kitu ilichokifanya kule Libya na jumapili inaenda kudharirsha taifa naomba nieleweke simba hamna kitu mule timu ni mbovu sijawahi kuona na huyo kocha sijui ubongo Hana maana kazungukwa na magarasa na yeye mwenyewe hamna kitu kichwani aisee simba itachakazwa vibaya sana na waarabu wakiongozwa na mabululu
weka walau alama za uandishi
 
Mimi sio shabiki wa Simba lakini wewe sio mchambuzi bali ni mpuuzi fulani hivi. Yaani mtu ashindwe kukufunga nyumbani kwake tena uwanja ukiwa full house halafu ndio aje ashinde ugenini!!!?
Hivi hujiulizi ni kwanini Mashabiki wa Tripoli walikasirika na kuanzisha fujo, hujui kuwa walishaona kama wameshindwa kupata matokeo pale nyumbani kwao basi hawatakuwa na namna ya wao kushinda Tz.

Usimba na Uyanga unatufanya tuwe wapuuzi sana.

JUMAPILI BAADA YA GAME UJE TENA HAPA NA UCHAMBUZI WAKO RAMLI
Exactly🤝yaan huyu bwege kachambua akili yake ya kimaskini
Simba bado inajitafuta, bahati mbaya sana wako kwenye mashindano na hali bado kocha anatengeneza timu.

Wanampa mzigo mkubwa sana kocHa, sijui kama wanajifunza kuwa wanatakiwa kuleta kocha mapema na wachezaji mapema ili akae nao pre season aweze kutengeneza kitu. Lakini hii unamleta kocha siku kadhaa kabla ya ligi na mashindano makubwa sio nzuri.

Simba wasijiachie sana kwa kuwa tu wako nyumbani, wakafunguka zaidi watapigwa na kushangazwa. Waendelee kucheza kwa tahadhari.

Mwisho, uongozi wa Simba unazingua, mambo yasipoenda vizuri uwanjani wanamtoa kafara kocha wakati wao mambo wanayepeleka hovyo.

CEO Barbra alikuwa smart sana, simba ilikuwa inaendesha mambo yake kitaalamu. Tangu ameondoka usajili ni wa hovyo, kocha scouting hovyo, vurugumechi.
Yaan umechambua akili yako ya kimaskini siyo mpira💀hata kama msemeje ukweli ni kwamba darasa la saba aliyefaulu hawez mringishia form four aliyefeli🤝😂😂chukua hyooo...baada ya mechi tunasubir uchambuz wako mwingne🚮😂
 
Exactly🤝yaan huyu bwege kachambua akili yake ya kimaskini

Yaan umechambua akili yako ya kimaskini siyo mpira💀hata kama msemeje ukweli ni kwamba darasa la saba aliyefaulu hawez mringishia form four aliyefeli🤝😂😂chukua hyooo...baada ya mechi tunasubir uchambuz wako mwingne🚮😂
Umesoma ukaelewa nilichoandika Dada? Mpira unafatilia? Au unadhani mimi sio Mshabiki wa Simba.

Sasa ambacho unakipinga ni kipi?
Kwamba Simba haijitafuti sasa hivi?
Kocha hajachelewa kuja?
Simba wasicheze kwa tahadhari?

Yani unachokikataa ni nini, sijakuelewa
 
Umesoma ukaelewa nilichoandika Dada? Mpira unafatilia? Au unadhani mimi sio Mshabiki wa Simba.

Sasa ambacho unakipinga ni kipi?
Kwamba Simba haijitafuti sasa hivi?
Kocha hajachelewa kuja?
Simba wasicheze kwa tahadhari?

Yani unachokikataa ni nini, sijakuelewa
Huwez elewa mpka uwe na D mbili😂😂😂🫂
 
Kwa nilivyoiona hii klabu ya simba Mimi kama mchambuzi wa maswala ya soka Sina ushabiki wowote wa timu za Tanzania ni kwamba hii timu hamna kitu ilichokifanya kule Libya na jumapili inaenda kudharirsha taifa naomba nieleweke simba hamna kitu mule timu ni mbovu sijawahi kuona na huyo kocha sijui ubongo Hana maana kazungukwa na magarasa na yeye mwenyewe hamna kitu kichwani aisee simba itachakazwa vibaya sana na waarabu wakiongozwa na mabululu
Alafu unajiita mchambuzi! Labda unachambua maharage na mbaazi...
Simba itapambana kadri itakavyo kuwa.Kama itatolewa basi si Jambo geni...
Mungu ibariki Tanzania...
 
Back
Top Bottom