mngony
JF-Expert Member
- Jul 27, 2012
- 5,555
- 6,972
Simba bado inajitafuta, bahati mbaya sana wako kwenye mashindano na hali bado kocha anatengeneza timu.
Wanampa mzigo mkubwa sana kocHa, sijui kama wanajifunza kuwa wanatakiwa kuleta kocha mapema na wachezaji mapema ili akae nao pre season aweze kutengeneza kitu. Lakini hii unamleta kocha siku kadhaa kabla ya ligi na mashindano makubwa sio nzuri.
Simba wasijiachie sana kwa kuwa tu wako nyumbani, wakafunguka zaidi watapigwa na kushangazwa. Waendelee kucheza kwa tahadhari.
Mwisho, uongozi wa Simba unazingua, mambo yasipoenda vizuri uwanjani wanamtoa kafara kocha wakati wao mambo wanayepeleka hovyo.
CEO Barbra alikuwa smart sana, simba ilikuwa inaendesha mambo yake kitaalamu. Tangu ameondoka usajili ni wa hovyo, kocha scouting hovyo, vurugumechi.
Wanampa mzigo mkubwa sana kocHa, sijui kama wanajifunza kuwa wanatakiwa kuleta kocha mapema na wachezaji mapema ili akae nao pre season aweze kutengeneza kitu. Lakini hii unamleta kocha siku kadhaa kabla ya ligi na mashindano makubwa sio nzuri.
Simba wasijiachie sana kwa kuwa tu wako nyumbani, wakafunguka zaidi watapigwa na kushangazwa. Waendelee kucheza kwa tahadhari.
Mwisho, uongozi wa Simba unazingua, mambo yasipoenda vizuri uwanjani wanamtoa kafara kocha wakati wao mambo wanayepeleka hovyo.
CEO Barbra alikuwa smart sana, simba ilikuwa inaendesha mambo yake kitaalamu. Tangu ameondoka usajili ni wa hovyo, kocha scouting hovyo, vurugumechi.