Simba inaendeshwa kwa hasara kuliko Utopolo

Simba inaendeshwa kwa hasara kuliko Utopolo

Action and Reaction

JF-Expert Member
Joined
Oct 16, 2021
Posts
1,438
Reaction score
1,496
Napingana na Engineer kuwa Utopolo inaendeshwa kwa hasara kwani Mo Dewji aliposema Simba inaendeshwa kwa hasara walimtukana wakiongozwa na Msukule wao .. Yanga pamoja na waandishi Mazuzu walimsema vibaya Sana Mo... kwamba anakula mpunga kijanjajanja pale Simba!
Hivyo Engineer sikubaliani nawewe kabisa... Sababu unapenda ushabiki kuliko uhalisia!
 
Back
Top Bottom