Action and Reaction
JF-Expert Member
- Oct 16, 2021
- 1,438
- 1,496
Napingana na Engineer kuwa Utopolo inaendeshwa kwa hasara kwani Mo Dewji aliposema Simba inaendeshwa kwa hasara walimtukana wakiongozwa na Msukule wao .. Yanga pamoja na waandishi Mazuzu walimsema vibaya Sana Mo... kwamba anakula mpunga kijanjajanja pale Simba!
Hivyo Engineer sikubaliani nawewe kabisa... Sababu unapenda ushabiki kuliko uhalisia!
Hivyo Engineer sikubaliani nawewe kabisa... Sababu unapenda ushabiki kuliko uhalisia!