kwisha
JF-Expert Member
- Sep 9, 2021
- 1,779
- 4,982
Niwape hongera zao Simba kwa kuwa maarufu nje ya Tanzania kuliko Yanga. Mimi ni shabiki wa Yanga na kila mtu anajua lakini huu ni ukweli.
Nina marafiki zangu wengi ambao wametoka katika nchi za Kiarabu na wengine katika nchi za Bara la Asia wengine Afrika.
Tukianza kuzunguza mambo ya mipira kuna baadhi ya asilimia kubwa ambayo wanajua Simba tu, ukiwaambia kuhusu Yanga hawajui kabisa.
Kwa Yanga ni Mayele ndio anafahamika zaidi na wengine wanafikiria anacheza Simba. Niwape hongera zao Simba naamini Yanga tupo njani.
Nina marafiki zangu wengi ambao wametoka katika nchi za Kiarabu na wengine katika nchi za Bara la Asia wengine Afrika.
Tukianza kuzunguza mambo ya mipira kuna baadhi ya asilimia kubwa ambayo wanajua Simba tu, ukiwaambia kuhusu Yanga hawajui kabisa.
Kwa Yanga ni Mayele ndio anafahamika zaidi na wengine wanafikiria anacheza Simba. Niwape hongera zao Simba naamini Yanga tupo njani.