Mwakamele 16
JF-Expert Member
- Aug 26, 2016
- 1,493
- 1,113
Sasa hapo Simba awakimbie nani? Umesahau huwa wanacheza 9 tu lakini mziki wake unakuwa na impact gani? Mimi nadhani kama kweli Simba hawatapeleka timu hiyo siku basi mshukuru Mungu maana mta aibika!Lazima wakimbie tu maana siku hizi ni watu wa sababu. Hebu fikiria kiongozi anasema TFF viongozi ni kabila MOJA. Kiongozi kama huyo atakosa kugomea mechi?
Sent using Jamii Forums mobile app
Endeleeni kusubiri na mpelekwe daraja la kwanza....!!!!Kutokana na FIFA kuchelewesha majibu ya ponti 3 Simba inazodai,zikiwa hazija fika hadi siku hio hawato peleka timu uanjani.Kwani kwa kufanya hivyo ni kukubali moja kwa moja kama Yanga ndo mabingwa na hivyo ombi lao FIFA kutupiliwa mbali na wao kuendelea kuwa mambumbumbu kama Rage alivyo waita.
Sent using Jamii Forums mobile app
Tena waombee kweli Simba sc, wasipeleke timu uwanjani,Sasa hapo Simba awakimbie nani? Umesahau huwa wanacheza 9 tu lakini mziki wake unakuwa na impact gani? Mimi nadhani kama kweli Simba hawatapeleka timu hiyo siku basi mshukuru Mungu maana mta aibika!
Sent using Jamii Forums mobile app