demigod
JF-Expert Member
- Jan 2, 2015
- 8,292
- 15,250
Upo msimu ujao.
Msimu ambao panick buy ya wachezaji itafanyika pasi na kuzingatia vigezo na matakwa ya kiufundi. Msimu ambao hata mwalimu atakayrkuwa akiiongoza hatoweza kuwa na First 11 yake kwa sababu patakuwa na maingizo mengi yasiyo na ubora.
Msimu utaisha Matani atatawazwa Bingwa tena!
Msimu wa Pili ni msimuwa wa kuamka na kugundua pahala umejikwaa kwa haraka na pupa zako. Ndio msimu utakusanya watu sahihi wa kutafuta ushindi lakini bado watakwamishwa na ugeni wa Mwl mpya kwenye timu na kwenye Ligi.
Mtaamua kumvumilia kwa sababu hizo.
Msimu wa tatu maboresho mapya yatawazidi watani zenu lakini kwa bahati mbaya watani zenu watakuwa katika final peak ya ubora wa kizazi walicho nacho, yes nao hawatakumbuka kufanya recruitment ya fresh blood kwa kupumbazwa na mafanikio mafupi ya mataji mfululizo.
Lakini katika msimu wa nne ndipo uhondo wa Ligi Kuu utashuhudiwa zaidi kwa kuwa angalau kila mtu kwa mara ya kwanza katika historia ya soka la bongo atakuwa kwenye ubora wake wa zaidi ya asilimia 75.
Yes ni kipindi ambacho timu zote (kwa pamoja) zitajipata katika hatua za robo fainali kwenye michuano ya CAF.
(Sijasema Klabu Bingwa ama Shirikisho)
Simba SC wana safari ndefu ya kujiandaa na Maisha yao ya Zamani.
Msimu ambao panick buy ya wachezaji itafanyika pasi na kuzingatia vigezo na matakwa ya kiufundi. Msimu ambao hata mwalimu atakayrkuwa akiiongoza hatoweza kuwa na First 11 yake kwa sababu patakuwa na maingizo mengi yasiyo na ubora.
Msimu utaisha Matani atatawazwa Bingwa tena!
Msimu wa Pili ni msimuwa wa kuamka na kugundua pahala umejikwaa kwa haraka na pupa zako. Ndio msimu utakusanya watu sahihi wa kutafuta ushindi lakini bado watakwamishwa na ugeni wa Mwl mpya kwenye timu na kwenye Ligi.
Mtaamua kumvumilia kwa sababu hizo.
Msimu wa tatu maboresho mapya yatawazidi watani zenu lakini kwa bahati mbaya watani zenu watakuwa katika final peak ya ubora wa kizazi walicho nacho, yes nao hawatakumbuka kufanya recruitment ya fresh blood kwa kupumbazwa na mafanikio mafupi ya mataji mfululizo.
Lakini katika msimu wa nne ndipo uhondo wa Ligi Kuu utashuhudiwa zaidi kwa kuwa angalau kila mtu kwa mara ya kwanza katika historia ya soka la bongo atakuwa kwenye ubora wake wa zaidi ya asilimia 75.
Yes ni kipindi ambacho timu zote (kwa pamoja) zitajipata katika hatua za robo fainali kwenye michuano ya CAF.
(Sijasema Klabu Bingwa ama Shirikisho)
Simba SC wana safari ndefu ya kujiandaa na Maisha yao ya Zamani.