mdukuzi
JF-Expert Member
- Jan 4, 2014
- 20,925
- 51,688
Simba kimataifa kwa miaka ya karibuni inajitutumua ili iwe kama vilabu vikubwa barani Africa, Al Ahly, Zamalek, Al hilal, As Vitta, Nkana, TP Mazembe, Mamelod, Kaizer Chiefs nk
Lakini cha kushangaza watani wanataka kuvunja rekodi za Simba na muda wotewabajiringanishana kuiongelea Simba kama taifa, wakati Simba na yenyewe inajitafuta tu.
Sijaekewa maana yake nini
Lakini cha kushangaza watani wanataka kuvunja rekodi za Simba na muda wotewabajiringanishana kuiongelea Simba kama taifa, wakati Simba na yenyewe inajitafuta tu.
Sijaekewa maana yake nini