Simba inakuzwa sana. Bado haijaiva

Simba inakuzwa sana. Bado haijaiva

canfi

JF-Expert Member
Joined
Jun 26, 2022
Posts
1,368
Reaction score
1,477
Karibu mechi zote za Simba walizocheza mikoani wamepata matokeo kwa tabu sana na kumetokea sintofahamu za dhulma au makosa ya marefa yaliyowanufaisha.

Kama ilivyo kwa Yanga ya msimu huu, hata Simba bado haijaiva vizuri tofauti na maneno na majigambo yaliyopo.

Ukikumbuka kilichotokea Dodoma (penati waliyopewa) na leo (goli la Pamba kukataliwa), utaona kuna dalili za kuangusha tena points. Bado wana kazi ya kufanya
 
Karibu mechi zote za Simba walizocheza mikoani wamepata matokeo kwa tabu sana na kumetokea sintofahamu za dhulma au makosa ya marefa yaliyowanufaisha. Kama ilivyo kwa Yanga ya msimu huu, hata Simba bado haijaiva vizuri tofauti na maneno na majigambo yaliyopo.

Ukikumbuka kilichotokea Dodoma (penati waliyopewa) na leo (goli la Pamba kukataliwa), utaona kuna dalili za kuangusha tena points. Bado wana kazi ya kufanya
Fumba macho tuiombee Simba Sports Club.🙏😎
 
Hao Leo wanashangilia ushindi wa dhuluma wala hawaitaji GSM
 
Yanga wachezaji wameiva hadi wamezeeka wanabustiwa na sindano
Sindano mpaka timu za taifa,,aliyewaroga wanambumbu alishakufa,,izo sindano wanacheza michuano mikubwa na Wenye mamlaka awazioni isipokuwa vijana wa mangungu peke yao ndio wanaziona
 
Back
Top Bottom