Tetesi: Simba inamnyemelea Aziz Ki

Wana misimu miwili ya kujipanga vinginevyo vyura fc wataendelea kutamba sana
 
Hilo tunalijua hilo siyo wekezaji ndo maana hata uwanja kauita jina lako,yule ni mnyonyaji
 
Hutakaa usikie Azizi K kahama yanga kwa kuvunjiwa mkataba na Simba ila timu za nje sawa
Siyo kuvunjiwa mkataba,mkataba wako unaisha mwezi ujao mwishoni na dirisha dogo linafunguliwa,je simba wakimpa donge nono hawezi kukubali?
 
Umemwita ndugu Mwasibu atie neno...[emoji1787]
 
Pacome alisajiwa asec baada ya aziz ki kuondoka, sasa unasemaje walikua wote asec?

Yao na aziz ki ndo walikua pamoja ila pacome hakuwepo.. asec walimsajili pacome kuziba nafas ya aziz ki aliyeondoKa
 
Kwani ni lazima Aziz K? Makolo hamuoni wengine? tuachieni Aziz K wetu.
Simba haina scout team ndio maana Hua wanakaa kusikiliza Yanga wanataka kumsajili Nani halafu wao wanakimbilia
Rejea mchezaji kama Chama, Rally bwalya, Miqueson,
Na wakienda kusajili Kwa scouting Yao huleta vibweka ,mfano sawadogo,Ayub, chikwende, pape ndaw, junior lukosa,
 
Wanasajili wazee wanaacha kusajili vijana 😀 😀
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…