Yaani hata ile Kagere alipowadokoa kimoja kama cha nguruwe wanataka kusema tuliinunua??Ushabiki mwingine sio kabisa yani mashabiki wa Yanga kila match ya Simba hata kabla haijaanza wanasema match imeuzwa.
Yani team itoke kufungwa match mbili mfululizo kwa udadi kubwa ya magoli haikukata tamaa wakaja kuwafunga Al Ahly leo hii wanacheza na team inayoburuza mkia African lyon au Azam ambayo ina matokeo mabaya mnakimbilia kusema wamenunua match sio fair kabisa
πππYaani hata ile Kagere alipowadokoa kimoja kama cha nguruwe wanataka kusema tuliinunua??
Kama wao wanauza kwanini wengine wasiuze??
Yanga mnataka ubingwa kwa timu gani mliyonayo?mtaenda kimataifa kwa bakuli?
Nyie mnaenda kimataifa kwa bakuli la muhindiYanga mnataka ubingwa kwa timu gani mliyonayo?mtaenda kimataifa kwa bakuli?
HujielewiNyie mnaenda kimataifa kwa bakuli la muhindi
Sisi la bakuli la Wananchi, hapo vipi
Sent using Jamii Forums mobile app
Inashangaza sanaKama wao wanauza kwanini wengine wasiuze??
Hata ile tuliowapiga kimoja mliuza ehhh!!!
Kipa Lipuli game kadhaa nimeziangalia Ila Leo kafanya individual errors za makusudi nyingi sana,biashara ipo vizuriUshabiki mwingine sio kabisa yani mashabiki wa Yanga kila match ya Simba hata kabla haijaanza wanasema match imeuzwa.
Yani team itoke kufungwa match mbili mfululizo kwa idadi kubwa ya magoli haikukata tamaa wakaja kuwafunga Al Ahly leo hii wanacheza na team inayoburuza mkia African lyon au Azam ambayo ina matokeo mabaya mnakimbilia kusema wamenunua match sio fair kabisa
Ushabiki mwingine sio kabisa yani mashabiki wa Yanga kila match ya Simba hata kabla haijaanza wanasema match imeuzwa.
Yani team itoke kufungwa match mbili mfululizo kwa idadi kubwa ya magoli haikukata tamaa wakaja kuwafunga Al Ahly leo hii wanacheza na team inayoburuza mkia African lyon au Azam ambayo ina matokeo mabaya mnakimbilia kusema wamenunua match sio fair kabisa
Kipa Lipuli game kadhaa nimeziangalia Ila Leo kafanya individual errors za makusudi nyingi sana,biashara ipo vizuri