Simba inanunua mechi

Bana pua. Chura.Mjini hapa.Oohhho
 
Kwa maelezo yako inaonekana unafurahia hatua iliyonayo Yanga kwa sasa.
Unaweza kusema kwa nn Yanga wanamlilia MANJI?

Unaweza kusema kwa nn Yanga wanachangishana awamu hii tofauti na awamu zilizopita?

Unataka kusema klabu zenye wadhamini ni wajinga? Yanga ndio mna akili?

Kama zinakutosha njoo ujibu hapa.
 
Mkuu Makahaba FC wasikuchoshe. Haziwatoshi.
 
Akikujibu mkuu naomba unitag
Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…